klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Hehehe ubalozi wa azebaijan ukisema shkamoo wanakunyima viza. Ina maana chafu sana kwa kiazabaijanNaona klorokwini anajivuuuuuta kuipokea !
Anaonekana huyu tangu asubuhi keshapokea nyingi ! Zimemlevya, afu mbona mi hunipaki Shkamoo ? Naambuliaga "Hi" au "Mambo?" "Hujambo?" baaas!
Au kwa vile tunajuana kwa nguo za kuogea ?