Wadada acheni hii tabia!

Wadada acheni hii tabia!

Naona klorokwini anajivuuuuuta kuipokea !
Anaonekana huyu tangu asubuhi keshapokea nyingi ! Zimemlevya, afu mbona mi hunipaki Shkamoo ? Naambuliaga "Hi" au "Mambo?" "Hujambo?" baaas!
Au kwa vile tunajuana kwa nguo za kuogea ?
Hehehe ubalozi wa azebaijan ukisema shkamoo wanakunyima viza. Ina maana chafu sana kwa kiazabaijan
 
Sema la'aziz kipande cha mzizi, inabidi na wewe utokee kwenye picha nikupe na busu kalii la kufungia April @Klorokwin

Tena nataka lile busu la hiliki mtoto unimiliki. laahaula! hapa sio picha tu, tunapiga na x ray kabisa.
 
shikamoo mme wangu! Ai lavu yu, mwaaaah!

M a r h a b a !
Unazidi kuniroga bila hata ya kwenda Sumbawanga!
Mdomo wako tu! na the way you are!
Ni Sumbawanga tosha !
Nafikiria kuweka lami barabara ya kwenda kijijini kwenu, niitoe kwenye kiwango cha changarawe.
 
M a r h a b a !
Unazidi kuniroga bila hata ya kwenda Sumbawanga!
Mdomo wako tu! na the way you are!
Ni Sumbawanga tosha !
Nafikiria kuweka lami barabara ya kwenda kijijini kwenu, niitoe kwenye kiwango cha changarawe.

haa!....watu wana bahati zao jamani... mtu chake kuja soma hapa....
 
Last edited by a moderator:
haa!....watu wana bahati zao jamani... mtu chake kuja soma hapa....

Oohoo Shem! Umeshaamka mapema hivi ?
Shem hii maneno iko ndogo sana! Na hivi Baraza la mawaziri liko Chumba cha kuvua viatu! chumba cha kuingia mmoja-mmoja ! (ICU)
Kuna wabaya wangu lazima waondoke na mma!
Kuta unaanza kuni'orodheshea matatizo ya Yaeda, Umeme mnao ?
Maji ?
Hospitali madawa? Kaeni mkao wa kufaudu !
 
Last edited by a moderator:
Habari za vibuti vyako ulivyopigwa huko nyuma ni irrelevant kwenye discussion.:smile-big:

Wengi wanafikiri ndio wataonewa huruma kumbe ndio unaandaa mazingira ya kibuti kingine.

Kuweni kama wazungu wanatumia neno simpo "It did not work out" Full stop!
 
nao kwa mawazo yao finyu wanaona ni kweliii.....
kumbe mtu ulishajaza Yutong 4 na fuso 2......cheni bandia......pesa bandia......nani mjanja.....
kudadalusinde.....

eehh..endelea kuhadithia..uliyoyapitia. Preta
M a r h a b a !
Unazidi kuniroga bila hata ya kwenda Sumbawanga!
Mdomo wako tu! na the way you are!
Ni Sumbawanga tosha !
Nafikiria kuweka lami barabara ya kwenda kijijini kwenu, niitoe kwenye kiwango cha changarawe.​



eeh...unatafuta jela wewe...
 
Last edited by a moderator:
eehh..endelea kuhadithia..uliyoyapitia. Preta
...

usijali hiyo hadisi bebi ni uongo....nilikuwa natoa mfano tu....mimi kwangu wewe ndio unaenizindua.....
 
Last edited by a moderator:
...saivi twapeana ma lav dav kwanza ...baada ya hapo ndo maswali yaanza..
 
Jela kivipi ? Fafanua

bebi yangu alikuwa anamaa nisha hivi.....

Kuta unaanza kuni'orodheshea matatizo ya Yaeda, Umeme mnao ?
Maji ?
Hospitali madawa? Kaeni mkao wa kufaudu !

nilikuwa namnyoa ndevu akaquote vibaya......samahani shem Judgement......kwa usumbufu niliosababisha......
 
Last edited by a moderator:
bebi yangu alikuwa anamaa nisha hivi.....



nilikuwa namnyoa ndevu akaquote vibaya......samahani shem Judgement......kwa usumbufu niliosababisha......

Hata mimi nilielewa hivyo, kua alichanganya habari !
Mpe pole , au apite mwenyewe hapa asome pole!
Maskini povu lilianza kum'mwagika kwenye HAKUNA !
Haina neno Shem sintofahamu ndogondogo kama hizi hutokea kwenye wengi, hata kwetu zipo.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom