Waholanzi Watengeneza Virusi Vya Kuua Wanadamu

Waholanzi Watengeneza Virusi Vya Kuua Wanadamu

Wanajisumbua tu, watakufa wenyewe, hivi mmesikia kuna ngozi nyeusi imekufa kwa mafua?? Tungekuwa hatupendi jig jig hata UKIMWI ungetupitia mbali, tatizo UKIMWI "....umekaa mahali pabaya"


Big Up!!! Kama vile ulikuwa kwenye ubongo wangu. Nakusapoti 100%.
 
China ndio tegemeo pekee lililobaki kwa waafrica. You know huu ndio maandalizi ya vita vya halimagedoni. Katika vita hivyo wanzungu watakuwa si kitu tena. Pamoja na hayo wanayoyafanya sio kweli ni kuzitishia nchi zinazokuja juu yao.
HAWATAWEZA CHOCHOTE NA NDANI YA MIAKA 50 INAYOKUJA NCHI ZA ASIA ZITAKUWA NA NGUVU KULIKO WAZUNGU NA NDIO UTAKUWA MWANZO WA AFRICA KUWA NA NGUVU.

mkuu hapo katika bold unafikiri hivyo? kwa nini unawaamin wachina? unafikiri wao ni wema kwetu?
 
[/COLOR]

Big Up!!! Kama vile ulikuwa kwenye ubongo wangu. Nakusapoti 100%.

usimpe 100% wao wanjua kuwa mafua pengine hamtakufa ila wana uhakika kuwa baaadhi ya maeneo watawapata tu.
hata hivyo hawajisumbui sisi tupo katika hatari zaidi ya kupote wakiamu kwani sisi tunatumia vyao kwa wingi na kasi ya ajabu hivyo hawatakufa peke yao.sisi ndio tutaondoka kwa wingi zaidi
 
Waviachie 2 mapimbi hao. Maani himicannibal sijui inatuonaje wafrika. Kila kukicha na maauvumbuzi yao yakipimbi.
 
nasikia wana mpango wa kuanzq kuvisambaza africa india bangladesh na baadhi ya miji ya china(northeen west)

Msiogope. Mafua ya ndege hayaui waafrika. Hicho kitapelekwa India na China. Sisi walishatuletea kirusi cha ukimwi kinatutosha
 
huu ni mpango wa kuelekea NWO. WANATAKA KUPUNGUZA IDADI YA WATU ILI WAWEZE KUWACONTROL KWA URAHIC
 
MI SIONI LOGICGIC BEHIND, KUTENGENEZA KITU CHA HATARI KWA BINAADAMU NI KWA NINI LAKINI?  NAONA WAZUNGU SASA MMEKOSA LA KUFANYA, KWA NINI MSIENDELEE KUFANYA UTAFITI WA KUPATA TIBA YA UKIMWI?  MNAJUA UKIMWI MLIULETE KWA NJIA KAMA HII NA MKASHINDWA KUPATA TIBA, HAMCHOKI TU MNALETA TENA BALAA JINGINE, MUNGU ATAWAPIGA PIGO BAYA SANA.  ACHENI UPESI TABIA KAMA HIYO HAIFAIII???????????????
 
TANGAZO
Ubalozi wa Uholanzi nchini Tanzania unapenda kuwajulisha umma wa Tanzania kuondolewa kwa VISA ya kwenda Uholanzi kuanzia leo hii tarehe Mosi Juni 2012. kwahiyo yeyote anaetaka kwenda Uholanzi unatakiwa kukata Tikiti yako ya ndege tu. Atakae soma ujumbe huu amjulishe na mwenzake. Karibu upate virusi vya mafua ya ndege vya H5N1 bwerere.
 
Dr. Robert Gallo head of Human Virology Institute in US ndiye aliemtengeneza HIV kwa kuunganisha Jeni za virus wawili yaani Visna Virus from sheep and another virus from Cow ie Bovune Leucemia virus na siri hii ilivumbuliwa na Dr Douglas aliyeamua kuchimbua asili (Precursor) of HIV na alipogundua na kuusema ukweli aliuawa kinamna na ndipo umoja wa wanasayansi US walipoamua kumshtaki Gallo kwa matumizi mabaya ya knowledge iliyotegemewa kusaidia watu, but the US presdent at that time Bill Clinton Paroled him.
 
Kuna article moja ya freemasons inayohusu NWO, inaeleza kuwa in future, hakutakuwa style ya kulipuana mabomu kama wafanyavyo terrorists. Lkn vita kubwa itakuwa ni terrorists kwa kutumia virus, hewa haitakuwa salama tena, watu watatembea wakiwa wamejifunga vitambaa mdomoni na puani kama doctors in surgery rooms.
Tujiandae na NWO.
Wewe ndugu ulijuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MI SIONI LOGICGIC BEHIND, KUTENGENEZA KITU CHA HATARI KWA BINAADAMU NI KWA NINI LAKINI? NAONA WAZUNGU SASA MMEKOSA LA KUFANYA, KWA NINI MSIENDELEE KUFANYA UTAFITI WA KUPATA TIBA YA UKIMWI? MNAJUA UKIMWI MLIULETE KWA NJIA KAMA HII NA MKASHINDWA KUPATA TIBA, HAMCHOKI TU MNALETA TENA BALAA JINGINE, MUNGU ATAWAPIGA PIGO BAYA SANA. ACHENI UPESI TABIA KAMA HIYO HAIFAIII???????????????
Wanasikia sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna article moja ya freemasons inayohusu NWO, inaeleza kuwa in future, hakutakuwa style ya kulipuana mabomu kama wafanyavyo terrorists. Lkn vita kubwa itakuwa ni terrorists kwa kutumia virus, hewa haitakuwa salama tena, watu watatembea wakiwa wamejifunga vitambaa mdomoni na puani kama doctors in surgery rooms.
Tujiandae na NWO.
We jamaa haya madudu ya New World Order mnayasomaga wapi? Comment yako hii ya 2012 Leo ni miaka 8, hadi nimeishiwa nguvu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna article moja ya freemasons inayohusu NWO, inaeleza kuwa in future, hakutakuwa style ya kulipuana mabomu kama wafanyavyo terrorists. Lkn vita kubwa itakuwa ni terrorists kwa kutumia virus, hewa haitakuwa salama tena, watu watatembea wakiwa wamejifunga vitambaa mdomoni na puani kama doctors in surgery rooms.
Tujiandae na NWO.
Eheeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom