Kusifia kila kitu bila kuhoji ni dalili ya uwezekano wa kua na utindio wa ubongo.
Sababu akili ya mtu kwa kawaida inatakiwa iwe Ina chambua mambo mbali mbali ili kuonesha uhai wake. Hivyo kitendo cha kutoshughulisha ubongo kufanya kazi ni ukweli kwamba akili yako imedumaa....
Sent from my...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.