The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,207
- 103,098
Punguza stress za maisha and u'll be ok.
Hiyo ni hali ya kawaida kwa aina flani ya watu, na wewe ni miongoni mwao. ukiona hivyo wala usilazimishe kutafuta kampani, jikubali vile ulivyo.Tafadhali naombeni msaada ndugu zangu,nina hilo tatizo linanisumbua sana kiasi kwamba naweza kukaa siku nzima sijaongea na mtu,yani muda mwingi nipo mwenyewe,na mtu akijaribu kukaa na mimi naona kama ni usumbufu natamani aondoke nibaki mwenyewe.
卻我想說出去了
Mkuu jikubali binaadam wameumbwa tofauti..
Mm nina tatizo kama lako, sitaki rafiki, sichat na mtu, sipigi story na mtu.. rafiki yangu pekee ni simu na Ear phones baasi huku nikiperuzi jf
不能容忍别人博客 不麻木波
我方!
Bila shaka mtoa mada hatumii Techno.
卻我想說出去了
Mkuu jikubali binaadam wameumbwa tofauti..
Mm nina tatizo kama lako, sitaki rafiki, sichat na mtu, sipigi story na mtu.. rafiki yangu pekee ni simu na Ear phones baasi huku nikiperuzi jf
Ushauri wako nimeuelwa vizuri sanaJitahidi uwezavyo kujichanganya kwani kuna matatizo mengi utayapata kiafya,kiakili na hata kiuchumi,fanya juhudi bado hujachelewa madhara yake huwa ni makubwa sana baadaye.




kwa uzoefu wangu kupenda kuwa peke yako kuna sababishwa na-
kuhisi umezidiwa kila kitu na wanao kuzunguka anzia namna ya kuvaa,elimu, mali, muonekano yaani kifupi kujiona daraja la chini ivo suruhisho ni kukaa peke yeko (kujitenga)
kupenda kupiga puri,na kuangali video/pivha za ngono kitu kinacho pelekea muda mwingi kutamani uwe peke yako ujilipue
aibu na kuhisi watu wanao kuzunguka wanakuona mtu duni kulinganisha na wao
cha kufanya: ikubali hali yako na puuzia mawazo ya hovyo ya kujiona duni dhidi ya wengine
Kujitambua ni mihimu sana....Kama umezaliwa kati ya 23/08 hadi 22/09 , kuna uhusiano na unayo yasema. Jibu ni kwamba wala usihangaike kwa wataalamu wa psychology ukapoteza pesa , kwa sasa ndivyo ulivyo ni asili yako ,chakkufanya ni jitambua uko hivyo , ikubali hali hiyo .
Duh !!!! .... Mimi nina sifa kama zako ila sichukii kuongea na mtu ...pia nina stress za kawaida ... Ambazo hazijafikia kunipatia msukumo wa kujiua ....Asante sana,ni kweli nina stress sana kiasi kwamba kuna muda napata kabisa mawazo ya kujiua.
HahahaaHauna tatizo lolote wewe chapakazi ujenge nchi. Hilo sio tatizo, tanzania ya sasa inahitaji watu kama wewe