Kwanini ukisifia mazuri watu wanapata mihemuko? Kupinga kila kitu ni ufinyu mkubwa wa akili

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
WanaJF.

Kila binadamu ameletwa duniani for a good purpose,na hata tu viumbe walioko duniani wote wameumbwa na MUNGU kwa makusudi maalum,siyo accidentally tu.

Kuna kipindi mtu anaweza kufanya kitu kizuri,hatupaswi kukitambua na kumpa hongera zake?Tukumbuke pia sisi binadamu siyo malaika lakini mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

Kuna watu hawaoni zuri lolote, kuna watu hawaoni jema lolote na kuna watu hawaoni zuri lililofanya na Serikali ya Tanzania toka enzi za Mwl Nyerere, Mwinyi, Mkapa,Kikwete na sasa Magufuli. Wao kila kitu kupinga tu.Very shame.

Wewe unavyopinga umefanya nini kwa nafasi yako katika jamii? Uzalendo uko wapi hapa?Nchi hi ni yetu sote, kupinga kila kitu haisaidii. Mangapi yanafanyiwa kazi?Ina maana yote hayana maana,hakuna zuri?Haiwezekani tukawa watu wa kitoa mapovu tu.

Rais kila anachofanya wewe lazima upinge.Wewe umefanya nini? Au umeisaidia nchi yako kwa namna gani? Hata viongozi wa upinzani wana ruzuku kibao,je wanaleta miradi gani ya maendeleo nje na madiwani wao kwa kodi za wananchi?

Mnaona kabisa watu wanaweka kooni,bado mtu anakuja kutoa mapovu!

Watu wanataka mishahara walipwe wanayotaka wao, watu wanataka wawe na Uhuru wa kupitiliza wanavyotaka, watu wanataka uhamisho watakavyo, juzi hapa watumishi hewa wametimuliwa mtu bado anaponda. Seith na Rugemalira wameweka kati lakini bado watu hawaoni jitihada zake, wakati ndo hao hao wamekuwa wakiongea miaka nenda rudi kwamba mafisadi hawashughulikiwi.

Shame Tanzania, shame Africans!

Tubadilike, tuache akili mgando za kupinga kila kitu.
 
Kwenye mambo ya Serikali yetu na nchi, Wengi ni wapumbavu na malofa!!!
Haiwezekani kila jambo upinge wewe, baya zuri upinge wewe
Na mara nyingine hupinga mpaka waliyokuwa wanayataka wenyewe
 
Kwenye mambo ya Serikali yetu na nchi, Wengi ni wapumbavu na malofa!!!
Haiwezekani kila jambo upinge wewe, baya zuri upinge wewe
Na mara nyingine hupinga mpaka waliyokuwa wanayataka wenyewe
Si umeliona lihujumu Uchumi na Jizi hapo juu linatoa pongezi kwa MAJIZI wenzake.
 
Tatizo ni kwamba unasifia mpaka unazuia akili kufanya kazi ipasavyo.
Mfano tukisifu ujenzi wa chato airport tunatakiwa tujipime tunasifu mpaka wapi, tufike kwenye kuangalia bajeti ya ujenzi, mshindi wa tenda na ikiwa taratibu na sheria zilifuatwa.

Tukisifu ujenzi wa hostel za udsm haimaanishi kua hatutakiwi kuangalia kama gharama zinaendana na ujenzi.

Tukisifu suma jkt kuhakikishiwa ulaji na serikali kuokoa pesa tusisahau kua jamaa ndiyo anaua sekta binafsi hivyo.

Kusifia ruksa, lakini ishu ni unasifia mpaka wapi.
 
Tatizo ni kwamba unasifia mpaka unazuia akili kufanya kazi ipasavyo.
Mfano tukisifu ujenzi wa chato airport tunatakiwa tujipime tunasifu mpaka wapi, tufike kwenye kuangalia bajeti ya ujenzi, mshindi wa tenda na ikiwa taratibu na sheria zilifuatwa.

Tukisifu ujenzi wa hostel za udsm haimaanishi kua hatutakiwi kuangalia kama gharama zinaendana na ujenzi.

Tukisifu suma jkt kuhakikishiwa ulaji na serikali kuokoa pesa tusisahau kua jamaa ndiyo anaua sekta binafsi hivyo.

Kusifia ruksa, lakini ishu ni unasifia mpaka wapi.


Teh! kuna watu hawakosi baya kwenye kila jambo!!

Kusifia kila kitu hata vibaya ni tatizo!
Kukosoa kila jambo ni vibaya mara 100.
 
Teh! kuna watu hawakosi baya kwenye kila jambo!!

Kusifia kila kitu hata vibaya ni tatizo!
Kukosoa kila jambo ni vibaya mara 100.
Mkuu kama kukosoa kila kitu ni vibaya na kusifia kila kitu ni vibaya pia.

Tumebaki ma-free agents tunaokubaliana na hoja za yeyote mwenye mashiko nazo ni lazima tuzichuje.
 
Mkuu kama kukosoa kila kitu ni vibaya na kusifia kila kitu ni vibaya pia.

Tumebaki ma-free agents tunaokubaliana na hoja za yeyote mwenye mashiko nazo ni lazima tuzichuje.


Sawa!
 
Ukiwaambia waorodheshe mazuri wanang'aa macho. Ununuzi wa ndege kwa mfano Rais hana mamlaka ya kutumia hata senti moja ya walipa kodi bila idhini ya Bunge na pia kufuata taratibu za Serikali za manunuzi. Kuhusu mchanga wa dhahabu kama kweli ana nia ya kuona tunanufaika na rasilimali zetu kama Taifa kwanini anagoma kuipeleka mikataba yote ya Taifa toka awamu ya tatu hadi hii ya tano bungeni ikachambuliwe na kujadiliwa!? Anaogopa nini? KULIKONI?

Mkuu kama kukosoa kila kitu ni vibaya na kusifia kila kitu ni vibaya pia.

Tumebaki ma-free agents tunaokubaliana na hoja za yeyote mwenye mashiko nazo ni lazima tuzichuje.
 
Inategemea nan anayesifiwa watu wengne ukiwasifia sana wanaharibu bora kumpa moto ili anayoyafanya ayafanye kwa umakini akijua atakosolewa kuliko kusifiwa tu kila kukicha
 
Hakuna kinachoweza kufanyika kwa umakini kama nyimbo ni sifa;ndiyo walioendelea wanajua siri hiyo sisi bado sana
 
WanaJF.

Kila binadamu ameletwa duniani for a good purpose,na hata tu viumbe walioko duniani wote wameumbwa na MUNGU kwa makusudi maalum,siyo accidentally tu.

Kuna kipindi mtu anaweza kufanya kitu kizuri,hatupaswi kukitambua na kumpa hongera zake?Tukumbuke pia sisi binadamu siyo malaika lakini mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

Kuna watu hawaoni zuri lolote, kuna watu hawaoni jema lolote na kuna watu hawaoni zuri lililofanya na Serikali ya Tanzania toka enzi za Mwl Nyerere, Mwinyi, Mkapa,Kikwete na sasa Magufuli. Wao kila kitu kupinga tu.Very shame.

Wewe unavyopinga umefanya nini kwa nafasi yako katika jamii? Uzalendo uko wapi hapa?Nchi hi ni yetu sote, kupinga kila kitu haisaidii. Mangapi yanafanyiwa kazi?Ina maana yote hayana maana,hakuna zuri?Haiwezekani tukawa watu wa kitoa mapovu tu.

Rais kila anachofanya wewe lazima upinge.Wewe umefanya nini? Au umeisaidia nchi yako kwa namna gani? Hata viongozi wa upinzani wana ruzuku kibao,je wanaleta miradi gani ya maendeleo nje na madiwani wao kwa kodi za wananchi?

Mnaona kabisa watu wanaweka kooni,bado mtu anakuja kutoa mapovu!

Watu wanataka mishahara walipwe wanayotaka wao, watu wanataka wawe na Uhuru wa kupitiliza wanavyotaka, watu wanataka uhamisho watakavyo, juzi hapa watumishi hewa wametimuliwa mtu bado anaponda. Seith na Rugemalira wameweka kati lakini bado watu hawaoni jitihada zake, wakati ndo hao hao wamekuwa wakiongea miaka nenda rudi kwamba mafisadi hawashughulikiwi.

Shame Tanzania, shame Africans!

Tubadilike, tuache akili mgando za kupinga kila kitu.
Likifanyika jambo zuri ndio lengo la uwajibikaji.
Ujinga ni kujitwika ngoma kubwa mabegani na kuanza kusifu na kushangili.

Itakuwa jambo jema kusifia ugunduzi.

Kusifia utekelezaji wa majukumu ni ujuha.
 
Tatizo ni kwamba unasifia mpaka unazuia akili kufanya kazi ipasavyo.
Mfano tukisifu ujenzi wa chato airport tunatakiwa tujipime tunasifu mpaka wapi, tufike kwenye kuangalia bajeti ya ujenzi, mshindi wa tenda na ikiwa taratibu na sheria zilifuatwa.

Tukisifu ujenzi wa hostel za udsm haimaanishi kua hatutakiwi kuangalia kama gharama zinaendana na ujenzi.

Tukisifu suma jkt kuhakikishiwa ulaji na serikali kuokoa pesa tusisahau kua jamaa ndiyo anaua sekta binafsi hivyo.

Kusifia ruksa, lakini ishu ni unasifia mpaka wapi.
Kwanini usifie!

Wenye kiu ya kusifia wanyanyue midomo yao kuwasifia washika bunduki wa kibiti.
 
WanaJF.

Kila binadamu ameletwa duniani for a good purpose,na hata tu viumbe walioko duniani wote wameumbwa na MUNGU kwa makusudi maalum,siyo accidentally tu.

Kuna kipindi mtu anaweza kufanya kitu kizuri,hatupaswi kukitambua na kumpa hongera zake?Tukumbuke pia sisi binadamu siyo malaika lakini mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

Kuna watu hawaoni zuri lolote, kuna watu hawaoni jema lolote na kuna watu hawaoni zuri lililofanya na Serikali ya Tanzania toka enzi za Mwl Nyerere, Mwinyi, Mkapa,Kikwete na sasa Magufuli. Wao kila kitu kupinga tu.Very shame.

Wewe unavyopinga umefanya nini kwa nafasi yako katika jamii? Uzalendo uko wapi hapa?Nchi hi ni yetu sote, kupinga kila kitu haisaidii. Mangapi yanafanyiwa kazi?Ina maana yote hayana maana,hakuna zuri?Haiwezekani tukawa watu wa kitoa mapovu tu.

Rais kila anachofanya wewe lazima upinge.Wewe umefanya nini? Au umeisaidia nchi yako kwa namna gani? Hata viongozi wa upinzani wana ruzuku kibao,je wanaleta miradi gani ya maendeleo nje na madiwani wao kwa kodi za wananchi?

Mnaona kabisa watu wanaweka kooni,bado mtu anakuja kutoa mapovu!

Watu wanataka mishahara walipwe wanayotaka wao, watu wanataka wawe na Uhuru wa kupitiliza wanavyotaka, watu wanataka uhamisho watakavyo, juzi hapa watumishi hewa wametimuliwa mtu bado anaponda. Seith na Rugemalira wameweka kati lakini bado watu hawaoni jitihada zake, wakati ndo hao hao wamekuwa wakiongea miaka nenda rudi kwamba mafisadi hawashughulikiwi.

Shame Tanzania, shame Africans!

Tubadilike, tuache akili mgando za kupinga kila kitu.


Ukileta mada za kisoro utapingwa tu, mfano kusifia ukoo wa fisi? utapingwa tu!
 
Kusifia kila kitu bila kuhoji ni dalili ya uwezekano wa kua na utindio wa ubongo.
Sababu akili ya mtu kwa kawaida inatakiwa iwe Ina chambua mambo mbali mbali ili kuonesha uhai wake. Hivyo kitendo cha kutoshughulisha ubongo kufanya kazi ni ukweli kwamba akili yako imedumaa....

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom