Usijaribu la sivyo utasogeza period yako mbele na ukija kuipata tena mpk aftr 3-5days,it will depend on how much u use..hlf itatoka nyingi sana kwa siku nyingi wewe tumia dawa moja inaitwa SHABU{ipo km chumvi ya mawe}unaloeka hlf unanawia ingawa huwa nasikia ukiitumia kwa muda mrefu bila kuduuu...
Wanawake wenzangu hata km mtanishambulia kwa hili ila lazima tuambizane ukweli HIVI HIYO HAKI SAWA TUNAYOPIGA NAYO KELELE KUNA SIKU ITAPATIKANA?kuna mambo tunajichosha nayo mwanaume ni mwanaume tu kwanza aliumbwa wa kwanza kabla yetu na Mungu akaona yu mpweke akatuumba sisi wanawake hvyo mpango...
Namchukia mwanaume asiyejua majukumu yake!!!huwa ananikera wa hvyo kila k2 mpaka aambiwe naomba hiki!nataka hiki vikorokoro kibao akumbushwe,mwanaume ni mwanaume tu hakuna cha haki sawa wanawake wanacheza mchezo ambao hawatakuja kushinda kamwe.
Jamani!jamani!jamani!tuoneeni huruma wanawake nyie wanaume kuzaa mtoto si mchezo wa mdako jamaniiii!sijui mungu afanyeje ili muujue uchungu wa kuchanika uke wakati wa kujifungua..imagine kichwa cha mtoto kilivyo kinazidi ngumi sasa kipite huko kunakooo..mmmhh!wanawake tunapata tabu tuhurumieni...
Mwlm alikuwa anafundisha mada ya vitendawili,akamwambia juma tega kitendawili..JUMA:kitendawili?WANAFUNZI:tega.JUMA:nivue nguo nikupe utamu?MWALIMU:mshenzi sana nani kakufundisha vitendawili vya kihuni kama hvyo?JUMA:mwlmu kama hujui bora unyamaze tu,jibu la kitendawili hicho ni...
Mim nakumbuka walipika wali nyama hapo kijiji kipindi hicho...basi mim nilikuwa kwa shangaz yngu baba na mama wakamwambia mdogo wangu nikija anipe chakula,sasa kumbe yy akaamua kula nyama yote na wali akabakisha mchuzi na ukoko...mimi narudi akaniambia hicho ndio nilichobakishiwa nilisikia...
snowhite;pana chezeya kupanga mchakato kwa lesson plan ahahahhahahha watu tuna apply maazimio ya kazi mpka kwenye unyumba unafkiri utamu wake unakuwaje hapo
Nin Lesson plan k2 TEACHING aid ndo somo hueleweka kaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.