BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
Bwana weeh, ushabiki maandazi si nikanunua fem fresh (that feminine wash gel). Baada ya wiki najisikia kama nimekatwa na viwembe. Kidogo nimshike uchawi Paw. Nikajipeleka hospital kwa mambo mengine lakini nikamuambia dr naomba unipime stds. Akaniuliza why, kumuelezea akaniambia wala sikupimi, acha hiyo sabuni. Uzuri consultation ya Roulette na Riwa nyuma ya pazia ikanisaidia pia. Sikuamini, nimekomaje?
.hahahahahaha pole my dear, usirudie tena hayo madude, kegel inatosha.......
Last edited by a moderator: