Recent content by shaz

  1. S

    Sijui tumemkosea nini jirani yetu

    hata vitab nya mungu wametuasa mpende jirani yako kama unavyo jipenda
  2. S

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    polen
  3. S

    Shilole hajui Kiingereza hata kidogo

    uzalendo ndo kikubwa tuache kuabudu kwa wenzetu
  4. S

    Nani Mkali kati ya Diamond na Chris Brown?

    tofauti yao ni ndogo sana na imejificha ukweli wote ni wakali
  5. S

    Usaliti ndani ya UKAWA: Lowassa abaki mpweke baada ya wenzake kukubali ushindi wa Dr. Magufuli

    katiba ndo mbov aliye tangazwa na tume ndiye rais wala huna pakulalamikia kwamfano lubuva kwa isivyo bahat angemtangaza mbari wake kuwa ndio mshind wala hapo tusingekuwa na pa kulalamikia
  6. S

    Nape amjibu Lissu: Kama CHADEMA mnachukia ufisadi, mfukuzeni Lowassa

    kampen zimeisha tufanye kaz
  7. S

    CCM mfukuzeni Dk. shein na Seif Iddi wasipalilie vita

    kama kachafua hali ya hewa ya chama ni vyema akaondolewa kulikon hali ya hewa kuendelea kuchafuka
  8. S

    Neno la Nyongeza: Wabaguzi Hawa au Wale?

    una lako jambo ubaguz hapa hakuna kila mtu anaruhusiwa kuabudu kula na hata kuishi sehem yeyote ndan ya tz ili hali afuate sheria
  9. S

    Mkenya anaposikia Rais Magufuli yupo njiani kuwatembelea

    hayo majipu madogo sana watajitumbua wenyewe
  10. S

    Sina hisia zozote naye za mapenzi ila yeye ananipenda, nifanyaje?

    upendo muhim sana nadhan hapo weqe unamheshim tu wala upendo haupo usijitese kwa kuogopeshwa na ndoto
Back
Top Bottom