impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,763
- 7,753
Hali inayoendelea katika jeshi la polisi inasikitisha, wanainchi hawapati huduma kama inavyotakiwa polisi ni walinzi wa wanainchi lakini cha kusikitisha kwa sasa ukienda kituo chochote cha polis kuanzia saa 12jioni hauruhusiwi kufika unatishwa unafukuzwa, na matusi mengi hata kupigwa hata mchana wanajizungushia (warning tape dont cross).
Uzio wa hali ya hatari imefikia hatua mwanainchi wa kawaida huwezi fika unaogopa hata ukipita na gari karibu na kituo cha polis una pata usumbufu mkubwa.
Binafsi yamenikuta nikipita katika kituo cha polis mkuranga ambapo niliamuliwa kushuka katika gari na kulukishwa kichura jioni ya saa 1 ni udhalilishaji mkubwa tunaofanyiwa sehemu nyingi za vituo vya polis raia.
Rai yangu polisi kamwe hamutafanikiwa kwa kuweka uadui na raia jalibu kujenga mazingira rafiki na wanainchi wa kawaida.
Tupo katika Dunia 4G tafuta jinsi ya kulinda na kufanya interejensia yenu kwa mambo yanayoendana na wakati wa kisasa SIYO KUJIZUNGUSHIA UZIO NA KUTISHA WATU mimi si mtaalamu wa ulinzi ila Dunia ya leo hamtafanikiwa kwa kufunga vituo na kujificha ndani.
IGP MANGU CHUKUA HATUA HALI NI MBAYA SANA KATIKA VITUO VYA POLISI TAFUTA NJIA MBADALA YA ULINZI.
Uzio wa hali ya hatari imefikia hatua mwanainchi wa kawaida huwezi fika unaogopa hata ukipita na gari karibu na kituo cha polis una pata usumbufu mkubwa.
Binafsi yamenikuta nikipita katika kituo cha polis mkuranga ambapo niliamuliwa kushuka katika gari na kulukishwa kichura jioni ya saa 1 ni udhalilishaji mkubwa tunaofanyiwa sehemu nyingi za vituo vya polis raia.
Rai yangu polisi kamwe hamutafanikiwa kwa kuweka uadui na raia jalibu kujenga mazingira rafiki na wanainchi wa kawaida.
Tupo katika Dunia 4G tafuta jinsi ya kulinda na kufanya interejensia yenu kwa mambo yanayoendana na wakati wa kisasa SIYO KUJIZUNGUSHIA UZIO NA KUTISHA WATU mimi si mtaalamu wa ulinzi ila Dunia ya leo hamtafanikiwa kwa kufunga vituo na kujificha ndani.
IGP MANGU CHUKUA HATUA HALI NI MBAYA SANA KATIKA VITUO VYA POLISI TAFUTA NJIA MBADALA YA ULINZI.
Last edited by a moderator: