Sijui tumemkosea nini jirani yetu

Sijui tumemkosea nini jirani yetu

Atakuwa Mchawi huyo mkuu!...chukua hatua binafsi haraka, anaweza sababisha maafa ndani Ya Family

Jigo
 
Wana JF habar zenu.

Naishi na familia yangu,miaka minne iliyopita tulihamia kwenye nyumba yetu hapa Dar.

Jirani yetu alitupokea kwa furaha na kutuambia habar za mtaa mzima,alituambia pia watu ambao yeye hawapend hatak tuongee nao.

Siku zinavyozidi kwenda tunatokea kuwazoea majirani wengine zaidi yake, kitendo hicho kimemuudhi na amegeuka adui yetu balaa, amewekea sumu mifugo yetu kuku na paka tuliye kuwa tunafuga wamekufa.

Kuna siku alikuja na mganga kwake tukashangaa kuku wetu mweusi haonekani na manyoya yapo shimon pake, bata wetu wakipita uwanjani kwake anawakata miguu.

Yaani tunaimbiwa taarab kila siku,alishawah kumvuta mdogo wangu kwake na kumng'ata begani mpaka tukampeleka hospital.

Akifagia kwake uchafu anatupa upande wetu coz sisi tupo chin yake kidogo,tumemripot police na kwa balozi mara kadhaa ila hatuoni hatua zozote zikichukuliwa,na hii inatuogopesha sababu anatumia had watoto wake kuwaumiza wadogo zangu na kutuibia mifugo yetu maskin tumebaki na vifaranga tu

Naombeni ushauri.

Hapa pameniuma sana.
Sasa vifaranga watalelewa na nani?
Mijirani mingine kama michawi.
 
Mimi nina ndugu zangu moments kama hizi ndo wanazitafutaga hapa duniani... Ningewaita wananamfanyafanya huyo mama vile anastahili kufanywa halafu wanarudi zao kijijini...Halafu ikiisha hiyo round 1 nakuja na round 2. Hii ni ya intimidation kwa kutumia wale jamaa zangu wajeda... Wanakuja na Bunduki zao na mikwara kibao...Lazima wanyooke tu.
 
Kinakitu nyumaya pazia aise? Uyo jirani ni make au mume anafanyaivo
 
Atakuwa ni mchawi huyo jirani hivyo amegundua kuwa wewe na familia yako kuwa ni wachawi. Anachojifanya saizi ni kutaka kujua nani zaidi kati ya wewe na yeye ndo mana ameanza na hao paka wako wa kuchawi. Anapowakata miguu anataka aone kama utawapachikia miguu ya bondia ya kichawi. Kwani wewe paka wote hao tena weusi ni wa nini?
Soma vizur nilichoandika ndugu
 
Kwa nin mlianza kuongea na watu ambao yeye hawapendi.kumbe mlitaka wenyewe mana mlikiuka masharti
Kila mtu ana uhuru wa kuongea na amtakae. Jirani kama huyo anakuwa na chuki binafsi tu, Kaa nae mbali.
 
Wana JF habar zenu.

Naishi na familia yangu,miaka minne iliyopita tulihamia kwenye nyumba yetu hapa Dar.

Jirani yetu alitupokea kwa furaha na kutuambia habar za mtaa mzima,alituambia pia watu ambao yeye hawapend hatak tuongee nao.

Siku zinavyozidi kwenda tunatokea kuwazoea majirani wengine zaidi yake, kitendo hicho kimemuudhi na amegeuka adui yetu balaa, amewekea sumu mifugo yetu kuku na paka tuliye kuwa tunafuga wamekufa.

Kuna siku alikuja na mganga kwake tukashangaa kuku wetu mweusi haonekani na manyoya yapo shimon pake, bata wetu wakipita uwanjani kwake anawakata miguu.

Yaani tunaimbiwa taarab kila siku,alishawah kumvuta mdogo wangu kwake na kumng'ata begani mpaka tukampeleka hospital.

Akifagia kwake uchafu anatupa upande wetu coz sisi tupo chin yake kidogo,tumemripot police na kwa balozi mara kadhaa ila hatuoni hatua zozote zikichukuliwa,na hii inatuogopesha sababu anatumia had watoto wake kuwaumiza wadogo zangu na kutuibia mifugo yetu maskin tumepaki na vifaranga tu.

Naombeni ushauri.
Jirani kama huyo dawa yake ni ndogo tu. Kanunue Panga halafu subiri akiwa nje amekaa. Toka nje na Panga lako halafu linowe makali huku unamuangalia machoni. Usisahau mrejesho
 
Sasa ndugu si uwe unafungia mabata yako na wewe? Afu na mabata yake yakikatisha kwako uwe unayadaka unayanyonyoa afu unayaachia.

Huko mnakokaa ni wapi?
 
Sijui kwanini tanzania awatoi kibali cha kumiliki bunduki ingekuwa kwa wezetu kule Mexico wameshamshuti
 
yaani mtu kama huyo muombee kwa Mungu tu ataacha. Yeye muache atumie ushirikina wewe ng'ang'ana na Mungu uone jinsi atakavyohama mtaa. ila uchokozi wa hivyo mimi ningemng'oa shingo sitaki utani.
 
Dear sijui ni dini gani.. Ila if you are Christian haina haja ya kuzozana nae just Fasting and Prayers will put it to rest .. Let God fights for your battle .. Maana she / he is definetly something else .. You and your family join in serious warfare Fasting and Prayers for just 21 days and then come here with results.. Thanks..
 
Back
Top Bottom