hatimae nimepewa suspension leo nimeingia ofisin nusu saa iliyopita nimekutana na barua nimeambiwa nipumzike hadi hapo watakaponiita tena!nina biashara zangu nilikua nimeshaziweka hapa hapa Dar za nyumba za kupangisha maanake nilikua najiandaa kwa baadae nikiacha kazi,ndo kitu nilichobaki...
Jamani kwema,
Mimi ni mwanamke nimeolewa na tuna miaka kumi kwenye ndoa na mume wangu,tuna watoto 4,wakike wawili na kiume wawili. Jamani naombeni msaada wenu mume wangu amekua cha pombe mbaya.
Utadhani anazioga na anarudi nyumbani alfajiri yuko tungi hata hanijali tena na watoto, mi...
baada ya kuugua kwa muda mrefu rais Hugo Chavez hatimae afariki dunia!aliugua kwa muda mrefu ugonjwa wa saratani na alifanyiwa operations nyingi nchini Cuba lkn hali yake ilizidi kua mbaya hivi karibuni hadi umauti ulipomfika!
R.I.P mr president
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.