Ushauri: Mume wangu ni mlevi sana

Ushauri: Mume wangu ni mlevi sana

real???

aisee ila inaonyesha hana watoto wadogo na inaonekena kama hana mpanho wa kuzaa tena
UNAWEZA TUMIA MAZIWA YA MWINGINE?

Unaeza tumia..angalizo anayewekewa hayo maziwa kwenye pombe asijue..iwe kama saprizzz tu bibie..ataona kama hajatapika utumboo lol
 
Dahh,,, nimegundua
tatizo la kuchelewa kazini na kupewa barua ya onyo kila siku....

ndilo lenye uzito

Hahaaaaaaaa



((I'm kidding,,, Pole sana dada))
 
Tunamrahisishia. Angekuwa anapenda kusaka suluhu ya kweli ya shida yake angeingia magotini, angefunga na kuomba ili Mungu amnusuru mumewe, lakini kwa Kuwa yeye maana suluhu LA tatizo lake liko Jamii Forums.... wacha wana JF tumpe masolution ya kufa MTU.



NB:-
akiona hajapata suluhu atumie njia Hii.......
Njooni kwangu , ninyi nyote msumbukao na
wenye kulemewa na mizigo, nami
nitawapumzisha. "- Yesu (Mt 11:28)
Mpwa kumbe na wewe ni Mtumishi, nadhani tufungue huduma yetu hapa Jf tuiite JF Revival Service!! Tutapata watu tu.


Pombe ni mbaya sana sana sana, nitakushauri baadae
 
Dada Yangu Mimi Najua Pombe Au ulevi ni roho, kwa iyo ndio inayomwendesha. sasa hauwezi kuizuia roho mpaka na ww uwe roho, na roho yenye nguv zote ni Roho Wa Mungu Ambaye Huja Pale Tu Mtu Anapookoka. kwa iyo dada unahtj kubadilisha mfumo wa maisha kuwa wa kimungu ndipo utakuwa na sauti juu yake, la sivyo itokee muujiza. hupo tayar sergent?? naomba ni pm nikupe maelekezo zaidi
 
hatimae nimepewa suspension leo nimeingia ofisin nusu saa iliyopita nimekutana na barua nimeambiwa nipumzike hadi hapo watakaponiita tena!nina biashara zangu nilikua nimeshaziweka hapa hapa Dar za nyumba za kupangisha maanake nilikua najiandaa kwa baadae nikiacha kazi,ndo kitu nilichobaki nacho,nazidi kuelemewa ila nitapambana,cha pombe wangu nimeshamwambia kaniambia leo atawahi mchana huu tuongee! asanteni kwa usauri wenu!
 
hatimae nimepewa suspension leo nimeingia ofisin nusu saa iliyopita nimekutana na barua nimeambiwa nipumzike hadi hapo watakaponiita tena!nina biashara zangu nilikua nimeshaziweka hapa hapa Dar za nyumba za kupangisha maanake nilikua najiandaa kwa baadae nikiacha kazi,ndo kitu nilichobaki nacho,nazidi kuelemewa ila nitapambana,cha pombe wangu nimeshamwambia kaniambia leo atawahi mchana huu tuongee! asanteni kwa usauri wenu!

Matukio yamekuja kama surprise kwani shetani alichukia ulipokuja kumsema mtumishi wake huku ila wakati wa ushindi ndio huu.... Rudi kwa mungu na amini usiamini hatutaanza nusu ya mwaka huu kabla hujarejeshewa mmeo kutoka kwa mikono dhalimu ya shetani pombe. Natamani kama ungeamini japo kufikikia punje ya mhindi maana ungeshinda mtihani huu mdogo tena mdogo sana.
 
Mkamulie maziwa yako kama unanyonyesha bibie!!trust me atatapika hatareee na hapo ndo utakua mwisho wa kua chapombe!! Ila hizi ndoa jaman mnavumilia mengiii

Ni shida sana hizi ndoa japo sijaingia huko, lakini nimeexperience kwa kupitia familia fulani hivi waone hivi hawa mama zetu ni mateso makubwa wanapata, usiombe mumeo awe chapombe
 
Back
Top Bottom