Historia Fupi na Matibabu ya Askofu Thomas Laizer!!!!

Sasa hapa tunaanza migogoro ya ndani sisi kwa sisi. Wote tu wakristo tunamuamini Yesu Kristo,hakuna haja ya kulisifu dhehebu lako kwamba ndilo bora. Tuheshimu imani zetu na za wenzetu pia, anayetaka kufanya uinjilist kuongeza waumini hapa sio mahali pake , na pia ni vyema angeanza thread ya kufanyia uinjilist.
 
sergent; Ni Mimi ndiye ninaweza kukupa kwani hakika nipo hapa msibani tangu majira ya saa 4 ya asubuhi mpaka hv! Hakika watu ni wengi sijawahi kuona.
Na hata hivyo serikali yote ya jamhuri ya muungano wako hapa!


salaaam wakuu
nani anaweza kunijuza zaidi kwa picha yanayojiri arusha kwenye mazishi ya askofu thomas laizer?
Ni hayo tu wakuu asanteni
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli mimi ninatumia simu siwezi kuapload picha. Ila hapa kuna viongozi kama raisi Kikwete, maraisi wastaafu Mkapa na Mwinyi, pia yupo Lowasa,Reginald Mengi na baadhi ya wabunge. Kumejaa watu wengi sana hadi bara2 hz hapa za kanisa la mjini kati zimefungwa zote ndo zimejengewa majukwaa ya kukaa watu. In short ni ibada kubwa sana imejaa maaskofu wengi sana wa madhehebu yote na viongozi wa dini zote ambao ndo sasa wanatoa salaam za rambi2.
 
Mkuu,uzi huu si maalum
kutangaza imani ya ki-Sabato!!! Lakini,nina neno juu yako;kwa habari ya
kuadhimisha siku kama yanenavyo maandiko katika Biblia[waraka wa WARUMI
14:1-6]=>"........(4)Wewe u nani unayemhukumu mtumishi wa mwingine ?
(5) Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku;na mwingine aona siku
zote kuwa sawasawa.Kila mtu na athibitike katika akili yake mwenyewe.
(6)Yeye aadhimishaye siku,huiadhimisha kwa BWANA;.............

Umetoa jibu, ila kwa kuwa anaamini katika dini na sio Mungu ataendeleza ubishi.
 
Meljons;

Tupo pamoja na hap Mwenyekiti wa CDM anavyoongea kwa umakini inanigusa na hata kunilisa!

Jamani kuna watu wamebarikiwa kwa kuongea point!
kweli mbowe ni mtaalaam au naweza kusema ana kipaji cha kuongea maana amemwaga pointi nyingi kwa muda mchache.
 
Last edited by a moderator:
Safari ya mwisho wa uhai wake ndiyo imefikia mwisho muda huu!

Lala salama Askofu Thomas O. Laiser
na Bwana wetu YESU KIRSTO ampe pumziko katika shamba lake Bwana!

Hakika Bwana ametoa na Bwana ametwaa na jina lake Bwana lihimidiwe!
 
hivi ina maana ninyi wenye akili fupi ,hakuna kingine mnachoweza kuongea juu ya marehemu Askofu Laizer?
 
Mungu hatawahukumu watu kwa siku waliyoabudu, ila kwa dhambi walizofanya. Unaijua vizuri geography na utaratibu wa sabato unayoipigia debe?

Kama Wewe ndio imani yako hivyo ujue umepotea Mbinguni watakaoingia ni wasafi na wale waliozishika Amri za Mwenyezi Mungu yaani uache kushika Amri na ujipe njia zako wewe kisha ujipe moyo utaenda kwa Aliyekuwa Amri lol Hakika usiposafishika moyo na kutofuata maandiko hutokwenda mbinguni kwa njia za panya
Hata Mitihani watu wana fail kwa kujibu maswali watakavyo na si kwa Instruction mbona hata kwa akili ndogo yatosha kuelewa mwalimu wako wa Dini kakupotosha Soma Biblia ina majibu yote mimi sipigii Usabato bali napigia debe maandiko ya Biblia na sio mafundisho ya wapotoshaji kwani wengi wamepotea na wanaidi kupotea
 
Mkuu,uzi huu si maalum kutangaza imani ya ki-Sabato!!! Lakini,nina neno juu yako;kwa habari ya kuadhimisha siku kama yanenavyo maandiko katika Biblia[waraka wa WARUMI 14:1-6]=>"........(4)Wewe u nani unayemhukumu mtumishi wa mwingine ? (5) Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku;na mwingine aona siku zote kuwa sawasawa.Kila mtu na athibitike katika akili yake mwenyewe. (6)Yeye aadhimishaye siku,huiadhimisha kwa BWANA;.............

Waweza kuadhimisha siku kwa Bwana Mungu ila ulichoambiwa katika amri za Mungu Uikumbuke siku ya Sabato na Uitakase siku hiho usifanya kazi yeyote na hicho kifungu hakina uwezo na wala hakiwezi kufanya uache kuitakasa siku ya sabato waweza adhimisha siku unazotaka lakini Sabato itabaki pale pale katika Amri za Mwenyezi Mungu... Kama unapingana na Amri ufanye kwa ajili yako na si Wengine kwani kupotosha wengine si Vizuri

Sabato inasema Mtu akizini apigwe hadi kifo, Wasabato hawafuati hii amri lakini wanajiita Wasabato!!!!!!!!

Je Ushasikia hizo kesi? na japo unajiita Askofu Msaidizi nadhani u msaidizi wa kupotosha sikia vizuri hayo maandiko na si wasabato na hiyo amri ilikuwepo tokea wakati wa Musa kipindi cha Torati hata Waislam wanaishika Torati na kuiamini ni sheria za Mungu zilipoletwa kwa akili yako ya Uaskofu rejea Shule ukweli utaupata au kama ni mwelewa basi umeshikilia kupotosha kama mlivyo nyie waabudu jua

QUOTE=BAOBAO;5667988]K
Asante sana Bishop.Wasabato wengi ni wanafiki;kwa kuwa hawashiki sheria za Sabato ambazo ni zaidi ya 600! Mfano,msabato wa kweli kama masalia harusiwi kwenda kuokota kuni wala kuwasha moto nyumbani kwake siku ya sabato;kwani akifanya hivyo adhabu yake kupigwa Mawe mpaka afe na wasabato wenzake ![SOMA BIBLIA KUTOKA 35:3; HESABU 15:32-36][/QUOTE]

Sio wasabato tu hiyo ililetwa kwa Sheria ya Wanadamu usijitenge hata wewe unatakiwa kuitakasa Sabato usiwaseme Wanafiki

BAOBAO;

Nimeipenda sana post yako!
Umeyaelewa maandiko? wengi wamepotoshwa na dini za Mungu jua Maandiko wakiyaona wanastushwa mkuu Siri ya Upotoshaji Viongozi wenu wa Dini wanaujua sana ila wanawaficha hata wengine hawaruhusiwi kuwa na Biblia wametengeneza vijitabu vidogo jina sina uhakika nalo kama ni katesimu or something... Soma biblia utaujua ukweli wa Bible inavyoelekeza kuabudu Mungu ili uende ukaishi naye ni kama Mtigani tu ukipass utamuona na ukifail ndio vile Shetani anafurahia uwe kwake... STUKA

Umetoa jibu, ila kwa kuwa anaamini katika dini na sio Mungu ataendeleza ubishi.
Mkuu Pole Si ubishi ni kuwekana wazi juu ya maandiko na wakuu wa Upotoshaji wengi wamepotea
 
Back
Top Bottom