duh...wachungaji si hawaruhusiwi kuoa huyo mke katoka wapi?
Wewe umeshapata kiroba sasa umeandika mini? Mke wa mchungaji Arusha,mchungaji yupi?Alikua haumwi, amefariki ghafla leo asubuhi. Dada Atu Mungu akupumzishe kwa amani.
Natafuta picha yake hapa; soon ntarudi
Nadhani hujawahi kuguswa na msiba wowote ndo maana una sema ivyo....... Siku akiondoka duniani mtu aliyeugusa moyo wako utaelewa kwanini nmeandka ivyoWewe umeshapata kiroba sasa umeandika mini? Mke wa mchungaji Arusha,mchungaji yupi?
Marehemu anaitwa nani? Ebu maliza hicho kiroba uje na taarifa iliyokamilika chalii angu.
Nawe hunaakili ,unawaza kutumia matako ama?duh...wachungaji si hawaruhusiwi kuoa huyo mke katoka wapi?