https://www.jamiiforums.com/threads/nasubiri-awe-mume-ndio-nimpe-tunda.2193765/
Ndo huyu Chris ama wa nje. Maana una orodha ndefu sana
Kuwa na kumbukumbu
Bila shaka we ni Nsumba boy. Kama ni hivyo basi ulikuwa form 3 maana kipindi hicho hapakuwa na form 2. Tukio la Nsumba lilikuwa 2010 siku ya uchaguzi mkuu
Kitengo cha huduma za dharura mkoa WA Dodoma simu hazipokelewi, inasikitisha sana maana ya Emergency kutokupewa umhimu. Mteja anapiga simu zaidi ya masaa mawili simu inaita tu.
Ama hizi namba hazifanyi KAZI ?? 026 232 1728
Mi natafuta wimbo sijui jina lake ila baadhi ya maneNo yake ni kama ifuatavyo
"Ni kitu gani wewe mwanadamu unataka ufanyiwe na Mungu wako, tabia yako na mwenendo wako, Vitakuweka motoni milele"
Mkuu huwa unakuwa kwenye hiyo coverage ya ubungo to kibaha kwa muda mmoja? Au hhwa unaamka unachukua usafiri kufuata huo mlio mpaka kibaha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusaidie mkuu
Yana expire lini na yametengenezwa lini.
Mi naona Man Date january 2019
Expire Date December 2019. Au mi ndo mgumu kuelewa kiingereza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo inabidi uangalia vigezo vya NACTE ila kwa sasa siyo rahisi kwa mtu ambaye hajasoma masomo yote ya sayansi na kuyafaulu walau kwa D kusoma kada za afya tofauti na community health
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.