Kila siku mnafikiri wachawi ni wale wanaowanga usiku....Kumbe mnao humo humo makaziniNimefanya field nimemaliza ofisi flani ya serikali chakushangaza wanatupiana mpira kunijazia log book! Hadi saizi sijajaziwa kila mtu ataki kunijazia nifanyeje jamani......
WATAKUWA HAWAJUI KUJAZA, JAZA UWAPE WASAININimefanya field nimemaliza ofisi flani ya serikali chakushangaza wanatupiana mpira kunijazia log book! Hadi saizi sijajaziwa kila mtu ataki kunijazia nifanyeje jamani......
Dah... Ni somo hilo na lina maksi.. ukilimwa SUP utatakiwa kurudia field kwa gharama zakoKwani iyo logbook ni lazima
Huwa hawasomi kabisa kule unakoipeleka, wote mtapata A mpaka anayedisko. Hawaangalii muhuri, saini wala kilichoandikwa.Dah... Ni somo hilo na lina maksi.. ukilimwa SUP utatakiwa kurudia field kwa gharama zako
Log book anajaziwaje mkuu , si alitakiwa awe anarecord Kazi anazofanya daily Kisha anahamishia kwenye log book anasainiwa,Next rime mdogo wangu ukienda field cha kwanza tengeneza mahusiano mazuri na hao unao wakuta ofisi ...inaonekana communication haipo vizuri.
Sasa kwa case ya kujaza log book yako embu kamuone mkuu wa idara