NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 998
Hodi Wadau humu ndani.
Nimepita kwa mpika chips mmoja nikakuta anaweka mafuta ya kula kwenye chombo ya kukaangia chips, nikamuuiza kiongoz umeangalia EXPARE DATE akasema hapana, kuja kuangalia nikakuta
Prod Jan 2019
EXP December 2019 .
Hivi hawa TBs huwa hawafuatalii hizi bidhaa jaman...maana mwisho wa siku tutajaa pale Ocean Road hospital.
Ni mtazamo tu Leo sio kuharibu biashara ya mtu..no
Kwenye picha hiyo angalia maandishi madogo meupe
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepita kwa mpika chips mmoja nikakuta anaweka mafuta ya kula kwenye chombo ya kukaangia chips, nikamuuiza kiongoz umeangalia EXPARE DATE akasema hapana, kuja kuangalia nikakuta
Prod Jan 2019
EXP December 2019 .
Hivi hawa TBs huwa hawafuatalii hizi bidhaa jaman...maana mwisho wa siku tutajaa pale Ocean Road hospital.
Ni mtazamo tu Leo sio kuharibu biashara ya mtu..no
Kwenye picha hiyo angalia maandishi madogo meupe
Sent using Jamii Forums mobile app