Kama kila kitu kinatolewa makosa basi ulichoandika kimenipa tabu sana kuelewa hasa neno Mondo, imahaba, kubambaleza, anaoekana, kinyaji, Kiba akilua 🤣 jamaa mwisho wa thread yako ulipaswa kuweka maana ya maneno haya na mengineyo mengi tu.
Aliyemfunda kutiani ni wakati wa kulala ndio anaweza kuwa mshauri mzuri. Kama makocha wa mpira anaweza kutumia 442 kama 433 imeshindikana au total football.
Mwambie mume wako mdogo wake anausifu mk…ndu kisha aazima simu ya shemeji yako ujitumie text wakubwa wanafaidi we kaa pembeni ushuhudie mafahari wawili kama watakaa zizi moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.