Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,030
- 3,324
Waku,
Kuna huyu mchuchu wangu huyu
Jana usiku tukawa tunachati. Kama saa nne hivi usiku, akaniaga kuwa 'Mjina nalala love, kesho kazini mapema.' Baada ya dk km kumi hivi, nikaona tena txt, 'Baby nimefika getini nifungulie'. Kwa bahati mbaya nyumba nayoishi haina geti.
Nikasema pengine alitaka kusema yupo mlangoni akakosea. Nikafungua mlango sioni mtu.
Baada ya dk km mbili hivi akatuma tena txt 'sorry baby, wrong txt'.
Nikajua hapa ni manyoya tu kashaenda kugegedwa.
Hapa ananidanganya alikua anacheza true and dare na rafiki yake akajikuta kanitext mimi.
Nishapiga chini mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna huyu mchuchu wangu huyu
Jana usiku tukawa tunachati. Kama saa nne hivi usiku, akaniaga kuwa 'Mjina nalala love, kesho kazini mapema.' Baada ya dk km kumi hivi, nikaona tena txt, 'Baby nimefika getini nifungulie'. Kwa bahati mbaya nyumba nayoishi haina geti.
Nikasema pengine alitaka kusema yupo mlangoni akakosea. Nikafungua mlango sioni mtu.
Baada ya dk km mbili hivi akatuma tena txt 'sorry baby, wrong txt'.
Nikajua hapa ni manyoya tu kashaenda kugegedwa.
Hapa ananidanganya alikua anacheza true and dare na rafiki yake akajikuta kanitext mimi.
Nishapiga chini mimi
Sent using Jamii Forums mobile app