Mshauri kuwa usiku ni muda wa kupumzika sio kuamshana bila sababu za msingi.
Hata hiki ni muhimu ujue, ila kuna style za kuamshanaMshauri kuwa usiku ni muda wa kupumzika sio kuamshana bila sababu za msingi.
Hapana kwakweli halina umuhimu wowote, hivi unaujua umuhimu wa usingizi kweli!!Hata hiki ni muhimu ujue, ila kuna style za kuamshana
Umuhimu wa usingizi nautambua, let's say mmelala saa 5 ikafika saa 10 na nusu ukatoka kwenda washroom ulivyorudi mwenzi wako akawa yupo macho mkakumbatiana na feelings zikawajia hutotimiza?Hapana kwakweli halina umuhimu wowote, hivi unaujua umuhimu wa usingizi kweli!!
Hapo hajaniamsha, hivyo hakuna tatizo.Umuhimu wa usingizi nautambua, let's say mmelala saa 5 ikafika saa 10 na nusu ukatoka kwenda washroom ulivyorudi mwenzi wako akawa yupo macho mkakumbatiana na feelings zikawajia hutotimiza?