Recent content by sande nicolaus

  1. sande nicolaus

    Wapi naweza kupata viazi mkoani Mbeya au Njombe? Bei iwe ya jumla ya shambani

    Njoo njombe uhakika,Mimi silimi Wala siuzi viazi ila naweza kukupa connection
  2. sande nicolaus

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mzigo bado upo wa kutosha hayo ni mambo ya IT katika harakati za kutofautisha pdf kwenye PC yake.
  3. sande nicolaus

    Naomba kujua maswali ya usaili katika nafasi ya Machine Operator katika kiwanda cha karanga leather madesa

    Umeshaitwa kwa ajili ya usaili? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. sande nicolaus

    Msaada: Ugonjwa wa mbuzi kuzunguka. Huu ni ugonjwa gani?

    Wakishafika stage ya kuzunguka mkuu hata uwape antibiotic hawawezi kupona bila ya kuwa na supportive drugs Sent using Jamii Forums mobile app
  5. sande nicolaus

    Msaada: Ugonjwa wa mbuzi kuzunguka. Huu ni ugonjwa gani?

    Kupona inakuwa ngumu sana kwa sababu moyo unakuwa na maji na pia kuna kuwa uvimbe kwenye tezi,kwaiyo unapotumia tetracycline pekee utatibu vidudu tu vya ugonjwa lakn kuna maji kwenye moyo na hayo mauvimbe unakuwa umeyaacha na ndio yanayomuua mnyama.....kinga ni kuwaogesha tu ili kuua kupe coz...
  6. sande nicolaus

    Msaada: Ugonjwa wa mbuzi kuzunguka. Huu ni ugonjwa gani?

    Hapo mwisho nimemwambia atafute daktari, Sent using Jamii Forums mobile app
  7. sande nicolaus

    Msaada: Ugonjwa wa mbuzi kuzunguka. Huu ni ugonjwa gani?

    Ugonjwa ni heart water kwa dalili hiyo japo kuna nyingne tofauti japo iyo ni kubwa, Dawa tafuta antibiotics like tetracycline, ant inflammatory eg dexa na laxer....cha muhimu ni kupambana na kupe kwa sana...kwa maelezo zaidi mtafute mtaalam Wa mifugo kwa ushauri zaidi. Sent using Jamii Forums...
  8. sande nicolaus

    AZAM MILK, artificial au maziwa halisi?

    Dar milk anachukua maziwa hadi Tanga. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. sande nicolaus

    Msaada magonjwa ya ng'ombe na njia kukinga

    Magonjwa ya Mara kwa Mara inategemea na sehemu unayofungia na management yako pia.kwa sababu mnyama hazaliwi na magonjwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. sande nicolaus

    Msaada: Bata wangu wanakufa, niwapatie dawa gani?

    Ukiwapa pumba usichanganye na maji weka maji pembeni na pumba pembeni.
  11. sande nicolaus

    Ng'ombe wangu ana shida gani?

    Kama nitakuwa sijachelewa, kwanza kuchoka kwake inamaana katumia nguvu nyingi katika kuzaa hivyo ungempa maji ya glucose ya kutosha. Pili kutoa kondo ungempatia maji yenye chumvi inasaidia. Kwa ndama inatakiwa umpatie maziwa ya kwanza ya mama hata kwa kumkamua mwenyewe. Muhimu zaidi mtafute...
  12. sande nicolaus

    Hawa ndiyo Kariobangi

    Hao ni vibonde wa KMC.
  13. sande nicolaus

    Ujasiriamali: Usindikaji wa Yoghurt na Mtindi

    Mkuu Mimi ninaujuzi kidogo na hizi product ila shida yangu nataka churning machine je! Kwa dar zinapatikana wapi?
Back
Top Bottom