Nilishangazwa na kitendo cha mgonjwa kupelekwa hospitali ya serikali ngazi ya wilaya lakini mgonjwa alikosa huduma pale, badala ya kupelekwa ngazi ya mkoa akapelekwa hospitali ya binafsi tena kwa gharama yao wenyewe.
Hiyo imekaaje ndugu zangu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.