Recent content by samweli mbise

  1. samweli mbise

    Clouds TV mnatia aibu

    Mwanzo mpaka mwisho wanakosea? Wajirekebishe mana pombe sio msamiati ushindwe kuandika
  2. samweli mbise

    Clouds TV mnatia aibu

    Walimaanisha pimbi au vipo hawo?
  3. samweli mbise

    Je, Muwa ni tunda?

    Mfano wa matunda ambayo hayana mbegu ni vzur ukayataja kwa faida ya weng
  4. samweli mbise

    Huduma ya NBC Mobile Banking

    Mm mwenyewe nlisubir siku saba
  5. samweli mbise

    Huduma ya kutoeleweka hospitali

    Nilishangazwa na kitendo cha mgonjwa kupelekwa hospitali ya serikali ngazi ya wilaya lakini mgonjwa alikosa huduma pale, badala ya kupelekwa ngazi ya mkoa akapelekwa hospitali ya binafsi tena kwa gharama yao wenyewe. Hiyo imekaaje ndugu zangu?
  6. samweli mbise

    Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

    Kama ndo kampa hiyo smu hapaswi kuangalia mchepuko?
  7. samweli mbise

    Kwanini Serikali isilipe fidia simu feki?

    Serikali ingekataa bidhaa feki kuingia hiyo hasara ingepatikana wap?
  8. samweli mbise

    Hili jipu la Arusha litatimbuliwa lini?

    Et ukichelewa kazin unakatwa mshahara wa siku nzima
  9. samweli mbise

    Mbio za kobe na sungura nani mshindi?

    Hyo mbona haieleweki?
Back
Top Bottom