Clouds TV mnatia aibu

Clouds TV mnatia aibu

Huko sijui ni kukosa kazi au ni ujuha tu hata sielewi.. Kwahyo hyo ndio sababu iliyokufanya uwahi asubuhi yote hii kuja kuandika hapa,?
Kwa kudhibitisha kuwa wewe ni juha pure na huna kazi umepoteza muda wako kuacha comment hapa.
Ungenisoma vizuri usingemwaga uharo wako hapa nimesema ni kosa dogo lakini kwa taratibu za uhariri ni aibu unabisha kwa hilo au wewe ndo huyo mhariri?
 
Mwanzo mpaka mwisho wanakosea? Wajirekebishe mana pombe sio msamiati ushindwe kuandika
 
Mhariri wao ni Jerome Risasi mwenye Advance Certificate ya DSJ ya miaka 10 au 12 iliyopita huku akiwa na uzoefu mzuri tu kama News Reporter na Photoghrapher wa Vyombo vya Habari mbalimbali. Ninachojiuliza tu ni sijui ni kwanini aliyekuwa Mhariri Mkuu na Bosi wa Jerome Risasi Mwanadada Joyce Shebe ambaye anamzidi kwa mbali sana Kielimu na Kiuzoefu amekuwa demoted na Management ya Clouds Media Group na nafasi yake kupewa Jerome Risasi Mtoto wa Kawe Kindakindaki.
Vyuo gani wamesoma, hivi vya kata? ghosh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Cc Moderator
Kwanza nawapongezeni sana kwa kufuta uzi fulani hivi ulioanzishwa leo kwa kuelekezwa Clouds media.Nahisi mmegundua kitu ndio maana mkaufuta haraka
Unajua kumekuwa na kasumba either watu kutumiwa au Kiasiasa Zaidi watu kuibuka kila wiki na uzi unaohusu Clouds Media,imeekuwa inaboa sana kwa sasa
Na unakuta baadhi ya mambo yanajirejea yale yale na comments posted ni zile zilee.
Nashauri kwamba,kama mlivyofanya leo kwenye uzi mmoja kuufuta,ni hatua nzuri.
Huu ushindani wa vyombo vya habari kwa kupenyeza shombo za Usiasa hausaidii kitu.Kama chombo kizuri ni kizuri tu.Hakuna kijana ambae haikubali Clouds Fm na Tv,ila kuna vijichuki fulani hivi vimeingia kati hata wale waliokuwa wanaikubali nao wameanza kuichukia eti kisa ina mfavour raisi na serikali yake.Na ndio maana hata Comments nyingi zinajibu kuelekea huko na Pia kuelekea kwa Mfanyakazi Mmoja Mmoja.
Sasa imekua likitokea dogo tu watu mbioo kwenye kupost,likitokea jema kimyaaa.
Hata kama kuna kitu basi tutoe hata gepu basi,maana hata wale wasiokuwa wanaangalia Clouds basi wanaangalia kwa makusudio hayo tuuu.
Siasa zisitupumbaze akili,anaejua anajua tu
Huko Cloud Media Pacha wake huku Zanzibar Coconut Media,Coconut Redio na Coconut Digital Tv(EPL mechi karibia zoote na channell telee,buku kumi,sawa na bureeee)Raha tu.Hongereni Uongozi wa Cloud Media kwa kutanua Wigo wenu.Vimaneno maneno hivi najua kwa Ukongwe wenu mmeishavizoea na matusi ya walee mmeishayajua na hawana jipya.
Pigeni kazi wadau wenu tupo Nyuma na Mungu atawasimamieni
 
Typing error. Halafu hii ndio TV yake Magu! Hata Magu mwenyewe alisema "... ukienda hotelini omba risiti, ukieMBA dukani omba risiti" na tukamwelewa tu
 
Kwenye hiyo Pimbe hiyo e ingekuwa i ingeleta ukakasi zaidi.
Mkuu uwe makini unaweza kujikuta umeangukia mahakamani? Naibu spika kamwita mbunge bwege hajafanywa kitu lakini kuna jamaa anakesi ya kutumia neno hilo hilo kwa huyo unayezungumzia kuhusu hiyo herufi.
 
Halafu ni chaneli inayopatkana worldwide.... Cha kushangaza hata vpnd vyake nahisi havivutiiii..
 
Hata TBC Na ITV makosa hayo huwa yapo sana
 
Clouds wababaishaji hata watangazaji wake wana elimu za kuunga kuunga tu she****z
 
Clouds ichukueni hiyo taarifa ya mleta uzi kama changamoto kwenu katika zama hizi za ushindani,sio nyie tu mnaokosea lakini neno zuri la kiungwana ni kuwaomba radhi wasikilizaji/watazamaji wenu kwa usumbufu walioupata.
Ngoja mwewe aje aombe radhi..
 
clouds kwenye burudan m nawakubali swala la elimu hata wabunge wetu wanaotutungua sheria,kujadili bajet zetu kuna wasio na elimu na wenye elimu ila hao wenye elimu zao hatuon faida za hzo elimu ....kwenye market saiv talent,upeo,ubunif na experience ina matter .........tuache matabaka na kuwadharau wasio na elimu wakat wengne na elmu zao wanaishia zungusha bahasha hata pa kuanzia hawapaon
 
Nina imani watajirekebisha ni jambo dogo lakini kukumbushana ni muhimu.
Jana Clouds TV wakitangaza taarifa ya habari ya saa 2:00 usiku waliandika jina la rais wa JMT walimwandika kama JOHN PIMBE MAGUFULI hili ni kosa dogo la kiuandishi lakini wahariri hii ni aibu kwenu kulikosea jina la Rais kuanzia mwanzo wa taarifa mpaka mwisho jirekebisheni.

5a6ac0d149db125874013d8ec5126cb5.jpg
 
Back
Top Bottom