Kwanini Serikali isilipe fidia simu feki?

Kwanini Serikali isilipe fidia simu feki?

Kufuatia kutangazwa kwa kuzimwa kwa simu feki,na hasara moja kwa moja kumkuta mwananchi,

Je serikali kwa nini isiwajibike kurudishia gharama wote watakao athirika na zoezi hilo. Sababu
1. Serikali ndio ilikuwa na jukumu la kudhibiti bidhaa hizo, lakini ilishindwa hivyo wananchi wake tayari wameathirika kiafya.

2. Wameshakusanya kodi ya hizo simu.
Unaamini simu zitafungwa???
 
Sheria ya serikali ya 'Sale of goods act Cap 215' inatoa angalizo, 'Buyer be ware'...
Buyer be aware, ni pamoja na kufanya manunuzi katika sehemu sahihi na bidhaa hiyo ikawa na risit ambayo serikali imekusanya kodi. kwa hiyo serikali yenyewe inatoza kodi bidhaa feki.
Mimi nishakaa tayari laboratory na team yangu ya ma engineer, tunajipanga VP tutaweza kutumia simu fake baada ya june.
Pelekeni kwenye nchi ambazo bado hawajazuia hiyo mi-simu yenu feki kama walivyofanya wakenya kutuletea sisi kipindi kile walivyozizuia kwao.
Je unaamini simu zitafungwa?
 
Hawana jeuri ya kufungia simu hao wakurupukaji. Kila mtu anakurupuka ukiuliza eti hapa kazi tu. Hizo kazi ndio mmeanza Leo!? Ujinga uliokithiri.
 
Kufuatia kutangazwa kwa kuzimwa kwa simu feki,na hasara moja kwa moja kumkuta mwananchi,

Je serikali kwa nini isiwajibike kurudishia gharama wote watakao athirika na zoezi hilo. Sababu
1. Serikali ndio ilikuwa na jukumu la kudhibiti bidhaa hizo, lakini ilishindwa hivyo wananchi wake tayari wameathirika kiafya.

2. Wameshakusanya kodi ya hizo simu.
Akili zako mbaya sana! Simesoma mstari mmoja wa juu hata sikutaka kumalizia upuuzi wako.
 
Ni watanzania 20% tu ndio tunatumia simu original
 
tatizo lako wewe hujitambui nenda face book ukakutane na wenzako au kawahi group lako la whatup
Wewe unajitambua kwa lipi!? Ku-support dhulma wanayotaka kufanyiwa wananchi. Au kwa sababu simu yako ahsante ccm ndio unadhani kila MTU ni hivyo hivyo. Wewe una mtindio Wa ubongo.
 
Back
Top Bottom