mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
muwa ni mboga mkuu ushawahi kula majani ya muwa?
Mimi nshawahi kula tena nilichanganya na mapapai mabichi.ni tamu sana.
Kama karanga mbichi na dagaa wakavu ambayo hawajapikwa yaani ni kitafunio kizuri sana ukiishapiga pombe ya komoni au viroba.