Binti Ajinyonga, aacha majina ya watu anaowadai wamlipe

Binti Ajinyonga, aacha majina ya watu anaowadai wamlipe

Sio bure huwezi kufikia kujinyonga kama hakuna sababu Za msingi Kama alivoandika, Yale ni maneno kutoka mdomoni Na sio moyoni, ama amejinyonga kimazingara.
 
Mmh tema mate chini ndugu yangu maisha yanapoamua kukugeuzia kibao lolote utafanya na hakuna kitu kibaya kama kupoteza tumaini. ..pale unapoona hakuna maana tena ya kuishi

Mwanangu unajua nlipokua kijana mdogo niliwahi waza hvyo hvyo inakuaje mtu anajinyonga au kujiua...nilikua nakejeli sanaa.

Ila aisee kaka kweli kua uyaone. Haya mambo yapo sanaa, mbaya kuna watu wanaweza kukutengenezea too much tension in ur mind in a way ujiue/kujidhuru mwenyewe na sijui ni kwann watu huwa wakatili kiasi hicho. Kuna watu hu enjoy sanaa kuharibia wengine maisha big tym.

Acha man....kuna binadam washenzi nyie. Life is indeed a learning experience. Over the years nimejifunza kusikiliza zaidi ya kuongea....u'll just learn a ton of things.
 
Mwanangu unajua nlipokua kijana mdogo niliwahi waza hvyo hvyo inakuaje mtu anajinyonga au kujiua...nilikua nakejeli sanaa.

Ila aisee kaka kweli kua uyaone. Haya mambo yapo sanaa, mbaya kuna watu wanaweza kukutengenezea too much tension in ur mind in a way ujiue/kujidhuru mwenyewe na sijui ni kwann watu huwa wakatili kiasi hicho. Kuna watu hu enjoy sanaa kuharibia wengine maisha big tym.

Acha man....kuna binadam washenzi nyie. Life is indeed a learning experience. Over the years nimejifunza kusikiliza zaidi ya kuongea....u'll just learn a ton of things.
Sometimes learning in a very hard way...si wote walifaulu kuyashinda makwazo ya binadamu wengine(Mungu awarehemu huko waliko) the challenges were too heavy to bare
 
UnahitAjika ujasiri mkubwa kujinyonga, ila dah unajinyonga hata husemi sababu,bmkubw ataumia sana....
 
aisee kweli inatia huzuni ila angejua angekimbilia kwenye nyumba za ibada kwani huko ndioko kuna msaada wa kweli asingefanya maamuzi magumu kama hayo ya kutoa uhai hivihivi jamani so sad
 
Ni vizuri wakati mwingine watu wa namna hii kabla ya kufikia hayo maamuzi mtafute mtu wa karibu akupe ushauri nasaha, Kujiua bado utakuwa hujatatua tatizo, sana sana utawaongezea uchungu wapendwa wako hasa Mama yako mzazi aliyehangaika na wewe tumboni miezi 9 amekulea mpaka hapo ulipofikia alafu unamuadhibu kisaikolojia namna hiyo.
 
Kwanza kabisa pole kwa wafiwa na jamaa,
Ila mi hapo kwa maoni yangu inaoneka kuna utata kwa suala hilo la kujinyonga,
Kwanza angali mwili huo ulivyo ninginia hapo, ukiusimamisha wima, unazidi urefu wa kamba,
Pia miguu inashuka chini ya msingi, hivyo mi mawazo yangu, hebu polisi wafanye uchunguzi wa kina kwa hilo
 
Kwanza kabisa pole kwa wafiwa na jamaa,
Ila mi hapo kwa maoni yangu inaoneka kuna utata kwa suala hilo la kujinyonga,
Kwanza angali mwili huo ulivyo ninginia hapo, ukiusimamisha wima, unazidi urefu wa kamba,
Pia miguu inashuka chini ya msingi, hivyo mi mawazo yangu, hebu polisi wafanye uchunguzi wa kina kwa hilo
Ata Mimi hofu imenijia mbona hakuna kitu ambacho alipanda nacho kwa maana angepanda na sturi angeipiga teke ili wakati anapupulika asiweze kujitetea mwili uzidi uzito wa kamba.naona miguu inaburuzika Mimi binafsi sijawai kuona waliojinyonga wanagusa chini na miguu kupinda.polisi chunguzeni mashaka yako mengi
 
Binti mmoja anayejulikana kwa jina la Jesca ambaye ni mfanyakazi wa Longido Mountain Lodge amekutwa amejinyonga katika hotel ya Longido Mountain Lodge akiacha ujumbe kuwa kifo chake kisihusishwe na mtu yeyote amejinyonga kwa ridhaa yake mwenyew akiacha ujumbe wa majina ya watu anao wadai walipe madeni yake kabla ya kusafirishwa kwao pamoja na namba za Mama yake mzazi.
View attachment 333523
View attachment 333530
Mungu wetu aingilie kati kwa hizi roho za kimapepo zinazotuandama.
 
Back
Top Bottom