samweli mbise
Senior Member
- May 13, 2015
- 102
- 11
Nilishangazwa na kitendo cha mgonjwa kupelekwa hospitali ya serikali ngazi ya wilaya lakini mgonjwa alikosa huduma pale, badala ya kupelekwa ngazi ya mkoa akapelekwa hospitali ya binafsi tena kwa gharama yao wenyewe.
Hiyo imekaaje ndugu zangu?
Hiyo imekaaje ndugu zangu?