Mimi naomba mtu anayefahamu duka la ukweli lililopo hapo Zanzibar anipe namba au account yao ya Instagram niweze kuagiza mzigo
Uwe umefika tafadhali nisije kuingia mkenge wa matapeli!
Nahitaji TV
naomba kufahamishwa, pale kwenye page 5 section 3.3, ushuhuda wa wakili/hakimu
imetiwa sahihi na............................(jina la mkopaji) ambaye ninamfahamu AU
ametambulishwa kwangu na...............................ambaye ninamfahamu.......
ninatakiwa kujaza hapo?
naomba msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.