ngoja nije pm unachaji sh ngap
Naomba kufahamishwa "the mechanism behind" hadi unakua ready kufanya hiyo business
Nasema tu sio lazima maisha ni kusaidiana.
Huwa nakuona sana unatafuta tafuta kazi dada angu, pole kwa hilo, nachotaka kusema jifunze forex usisikilize maneno ya watu jitoe tu ujifunze.
kutengeneza USD 40 tu kwa siku ni RAHISI SANA, Nasema kwa kua nafanya mimi, kwa wiki 2 una 800k ya kwako.
huhitaji mamilioni ya mtaji zaidi ya $100-200 tu kuanzia
Maneno yangu sio sheria lakini
Mimi naomba unikopeshe ujuzi nitakulipa nikianza kupiga hela
Nitakutafuta mkuu
Hebu tuwekene sawa, hii sheria mpya ya tcra inataka mtu alipe kodi shngap ili.kumiliki website
Hahaha payback yako imenichekesha sanaUliposema mahala katika bandiko langu kuwa vyuma vimekaza nilidhani mwenzangu ni tajiri sana na una maisha mazuri na kwamba mambo madogo kama haya ya kipesa au Kodi hayakusumbui kumbe na wewe ni mwana vyuma kukaza mwenzagu hadi unaanza kuhoji tcra wanatoza kiasi gani. Nakutakia umiliki mwema wa hiyo website yako tajiri ambaye vyuma havijakaza kwako.
Uliposema mahala katika bandiko langu kuwa vyuma vimekaza nilidhani mwenzangu ni tajiri sana na una maisha mazuri na kwamba mambo madogo kama haya ya kipesa au Kodi hayakusumbui kumbe na wewe ni mwana vyuma kukaza mwenzagu hadi unaanza kuhoji tcra wanatoza kiasi gani. Nakutakia umiliki mwema wa hiyo website yako tajiri ambaye vyuma havijakaza kwako.
Hahaha payback yako imenichekesha sana
Hebu tuwekene sawa, hii sheria mpya ya tcra inataka mtu alipe kodi shngap ili.kumiliki website
Hebu iweke ndugu yangu.
All you need isHebu tuwekene sawa, hii sheria mpya ya tcra inataka mtu alipe kodi shngap ili.kumiliki website
Hii hapa, loophole zipo tu... Ni sawa na huko mabarabarani, unadhani gari zote zile zina bima na leseni?Hebu iweke ndugu yangu.
Hivi kuna loophole yoyote?