Muache mtakatifu dinho..muache kama alivyo yule jamaa hasa anapokutana na mpira.. mpira wenyewe hujikuta mahali salama ukiwa kwenye miguu yake. Nahitimisha Muacheni dinho msimfananishe na bianamu yyt kuhusu mpira
Mkuu usimtukuze sana Messi ukamshau mwalimu wake ambae alimuamua kucheza nae kabla hajamuachia ile no 10 anayovaa Messi kwa sasa. Na burudani unayopata kwa Messi ni sehemu ndogo tu ya burudani aliyopewa na mwalimu wake. Nakuwekea na picha umjue mwenye ufundi wake
Benz maintenance take ipo juu mkuu. Shocks peke ake ya bei ya chini ni 400-600 laki hii naongelea C class.
Ukija Benz kama S class shock take unapata kwa 2.5 mil each.
Hii ni moja ya sababu watu wanakimbia hizi gari ila in nzuri sana kwa upande mwingine maana ukifunga spare unasahau.
Nakaribisha...
Chuki humchoma zaid anaeihifadhi mkuu...hadi imetokea ukaachana nae kuna kitu uliepushiwa
2.ukimsaidia hutapunguza chcht zaid utazd kubarikiwa kwa kdg ulichotoa
3.Moyo wako bado umejenga kisasi na chuki ndo maana thou ulitaka ushauri lkn umeegemea kupokea na kuyakubali mawazo hasi
4.Ukitaka...
Yes sure! Wengi hii huwakuta na hata mim ilinikuta hiii lakn Mungu hukunyooshea ili yule mtu ajifunze ingawa kwako atakuwa amechelewa ila next time awe makini...then wew msaidie kwa kadri ya uwezo..believ or not kumsaidia kwako kuna muumiza zaid kuliko kumpotezea..at the same time yu'l b doin...
Models sio uhuni na haihusiani na uhuni..tatz linakuja kwa baadhi ya warembo wenyewe kumis-use hii chance..kama unavyoona sasa hiv baadhi ya video queens wanavyotuamia fursa hiyo kutafuta wanaume pia..hii ndo inakatisha tamaa wazazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.