Wauzaji wa bidhaa za forever living mnaboa sana!

kwahiyo biashara yoote kaambulia gari tu?.alafu blandina tu ndio katoka na wengine ambao hawazidi 20%?.
basi probability ya kutoka ni 30% less. Maana blandina kila miaka namsikia na ile jeep yake ?
Atakuwa yupo na mjengo na bizness nyingine,kuna siku nlimuona maeneo ya obay usiku mnene anakatiza na Jeep yake sijui alienda kula bata au ndio ananyuti kule maana ilikuwa ijumaa ya mwezi wa tisa mwishoni.
 
Sipendi maneno yao,sipendi semina zao na historia za kina Trump ila napenda bidhaa zao kama: dawa ya meno, asali na pafyumu....mie mteja wao mzuri ila nawatahadharisha kabisa huwa sipendi kujiunga nao maana sipendi kuwa mwongomwongo na mwenye tamaa sijui safari ya Zanzibar, Afrika kusini mara Mombasa huko nitaenda kwa pesa ya kuuza magimbi na bamia
 
na sasa kuna EDMARK,kadada kakali kinoma nakaajua kananisumbua kila siku nionane nako,eti kaniingize kwenye list yake yani haya mabiashara ya kimtandao kibongobongo nahis hayafanyiki kwa weledi mkubwa,ujanja mwingi sana na uongo ndo mana mwisho wa siku mtu analia,nafikiri mtu aelimishwe vya kutosha ili awe huru kujiunga siyo huachiwi pumzi afu wanataka laki7 yako kimasihara tu,na kuna magroup mengi whatsap huko wanajidai wajasiriamali wanawaunga,mnachati siku mbili tatu story zinahamia forever living au rifaro n.k ukiwachana wanakuremove haiishi hata dk.hili pia ni jipu kitumbuliwe haswaaaa
Yaan ulipotajs edmark umegusa patamu awa jamaa walinifanya nikope pesa ya nauli na chakula kutoka mbagala mpaka masaki wakaniambia wanatoa ajila baada ya kuwauliza hawakunijib majibu yanayoeleweka mzee nikajitupa kufata ajila nilicho kikuta aisee kidogo nianzishe timbwil
 
Yaan ulipotajs edmark umegusa patamu awa jamaa walinifanya nikope pesa ya nauli na chakula kutoka mbagala mpaka masaki wakaniambia wanatoa ajila baada ya kuwauliza hawakunijib majibu yanayoeleweka mzee nikajitupa kufata ajila nilicho kikuta aisee kidogo nianzishe timbwil
problemee ni kwamb watu wengi wanatk utajir wagafla.Na hao wengi wao "nisimple minds they cant reason logical.Izo bithaa mbona hawauzi kwenye maduka mpaka "wakabe"watu????!!!.These thiefs like az thiefs.
 
Habari za weekend.....

Wauzaji wa bidhaa za forever living, kwanza hongereni kwa kufanya hiyo biashara inayohitaji kipaji cha hali ya juu kuweza kuongea sana na kumshawishi mteja, ni kipaji kwakweli.

Back to topic, mmekua mnatumia mbinu za uongo na kulazimisha sana mteja ili mtangaze biashara aaagrrrr hii mbinu yenu Inakera sana,inaboa sana

Mfano 1: siku za karibuni nikialikwa mahali, nikaambiwa ni semina nauliza semina ya nini nikaambiwa semina tu nihudhurie napigiwa simu za kusisitiza nikaona isiwe tabu ngoja niende nikaahirisha vitu vya muhimu kwenda semina, kumbe ni kwenda nyumbani kwa mtu kuoneshwa bidhaa za forever, wtf? Kwanini umdanganye mtu? Can you imagine nilikua nafeel vipi wakati naoneshwa hizo bidhaa? Mxyu nilikua nimekasirika sana

Mfano 2: dada mmoja kwenye group la whatsapp alitoa mwaliko, jaman karibuni kwangu sehemu flani kuna shughuli, msosi na bia vipo mtakula mtakunywa mtasaza, tunauliza ni nini ubarikio, engagement au nini mchango vipi anakomaa nyie njooni tu eeeh walaji na wanywaji wakaenda eneo la tukio wamevaa suti kumbe ni kuoneshwa bidhaa za forever, Wiki nzima group kimya hakuna anaeongea kumbe watu wamenuna

Mfano 3: Wauzaji wa online, mtu anasema una mtaji wa laki njoo whatsapp tufanye biashara ukiuliza biashara gani unaambiwa njoo whatsapp, unaenda whatsapp anakutumia video la mb 100 kutangaza forever.

Hii ni mifano michache, hivii hamuoni mnakwaza watu? Hakuna mbinu nyingine za kutangaza bidhaa zenu bila uongo??? Au bila kudanganya hamuuzi? Mnakera sanaaaaa
Ni hayo tu
All a lieyers.And sm a thiefs.Weka mbali na pesa yako.
 
Kuna mtu online alianza hivo kama una laki mbili, njoo tufanye biashara bla bla faida mara mbili nikauliza akaniambia njoo whatsapp, nikaenda akaniunganisha na mtu mwingine, huyo mtu akatuma video anajieleza Daaah nlichoka
Hayo yote ya nini, kwanini asingekua straight tu kuwa ni biashara yake forever niamue yes or no
Awake?!
 
Kila nafsi itaonja umauti vitab vimeandika ww ukauze Forever living alaf mlokole au sheikh kabisa muumin akili zao sio bure
 
Back
Top Bottom