Shaur yao wasipo jirekebisha na kurudi kwenye msingi aliouweke muumba wataishia kutumika kama viti vya kukodishwa kwenye masherehe * sherehe & harusi zikiisha wanarudi stoo kupigwa vumbi .
GWALA KWAO PIA !
Ni kwel duniani wawili wawili! hilo sijui nalo ni gonjwa gani maana mimi shingoni mwa uume nawashwa kwa ndan. Kwa hyo ukipata dawa nikumbuke na mimi askar.
Daah! Sina bahati sijui hatasielewi.
Kwani mkuu tiba ya fangasi sehemu za siri unaweza ukanifamisha na wengine wana thubutu kusema kwamba iliyoanzia tumboni, pia nikioga huwa nawashwa mwili wote, na huwa napatikaniwa au natokwa na mate ya makohozi hata kama nikiwa sina kikohozi....mwisho...
Hujakosea! Tena ukute hyu ndyo walee...waga hawakui hata nguo za ndani hawanunui. mtoto wa mama, kula kwa mama, kulala kwa mama,kuishi kwa mama, kuvaa kwa mama, duuh!!
Wanakera!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.