vidmate
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 684
- 1,198
Mkuu usisahau kuniongeza kwenye listPia wale wote ambao wameomba kuwaongeza kwenye taglist, nafanya hivyo next time mtaona majina yenu nimeongeza kwenye list
Mkuu usisahau kuniongeza kwenye listPia wale wote ambao wameomba kuwaongeza kwenye taglist, nafanya hivyo next time mtaona majina yenu nimeongeza kwenye list
Kwamba hii story katupia huko?YouTube channel yako inaitwaje
Safi ngoja nisubirie part II
Naona unampambanisha mwenzio na wasiojulikana ili wamfanye dhafu ya ziraelHata na wewe ni msukule umejuaje wameshinda wakisubiria hadithi za kutungwa kama wewe hufungui hii thread kila baada ya dk 5 na kusoma comments za wadau kuhusu kusubiria? Na ulijuaje ni hadithi ya kutunga kama hujaisoma?..Kubali tu kuwa na wewe ni sehemu ya misukule kama unavyowaita wenzako...
Akina bashite??Ebu tusaidie angalau kuanzisha vuguvugu la kumng'oa jiwe maana akishaondoka ndo utakuwa mwisho wa bashite...Ebu tusaidie mkuu na sisi tutakuunga mkono maana lazima tuwe na kiongozi..Ongoza hilo vuguvugu hata sisi akina bashite wanatukera sana ila tumekosa tu mtu mwenye uthubutu kama wewe...Tunakuomba uwe MUSA wetu....anza kesho kuita waandishi wa habari na umnyee jiwe na genge lake mwanzo mwisho uone jinsi tutakavyokuunga mkono..
Mkuu pole na mihangaiko, tunasubiri sehemu ya sita.Ma-Oligarch wenzangu mnisamehe bure mkiona niko kimya, kuna muda natamani niweke updates ila nashindwa kutokana na mihangaiko… waweza kuni-support pia kwa kuungana nami Whatsapp
Huu ujumbe ndo pekee niliouelewa
Na mm uniongeze kwenye taglist mkuuPia wale wote ambao wameomba kuwaongeza kwenye taglist, nafanya hivyo next time mtaona majina yenu nimeongeza kwenye list
Mkuu popote alipo The bold sijawahi kukukosa.Ndio huyu
Mkuu na mimi unitagPia wale wote ambao wameomba kuwaongeza kwenye taglist, nafanya hivyo next time mtaona majina yenu nimeongeza kwenye list