Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Hata na wewe ni msukule umejuaje wameshinda wakisubiria hadithi za kutungwa kama wewe hufungui hii thread kila baada ya dk 5 na kusoma comments za wadau kuhusu kusubiria? Na ulijuaje ni hadithi ya kutunga kama hujaisoma?..Kubali tu kuwa na wewe ni sehemu ya misukule kama unavyowaita wenzako...

Akina bashite??Ebu tusaidie angalau kuanzisha vuguvugu la kumng'oa jiwe maana akishaondoka ndo utakuwa mwisho wa bashite...Ebu tusaidie mkuu na sisi tutakuunga mkono maana lazima tuwe na kiongozi..Ongoza hilo vuguvugu hata sisi akina bashite wanatukera sana ila tumekosa tu mtu mwenye uthubutu kama wewe...Tunakuomba uwe MUSA wetu....anza kesho kuita waandishi wa habari na umnyee jiwe na genge lake mwanzo mwisho uone jinsi tutakavyokuunga mkono..
Naona unampambanisha mwenzio na wasiojulikana ili wamfanye dhafu ya zirael
 
Ma-Oligarch wenzangu mnisamehe bure mkiona niko kimya, kuna muda natamani niweke updates ila nashindwa kutokana na mihangaiko… waweza kuni-support pia kwa kuungana nami Whatsapp
Huu ujumbe ndo pekee niliouelewa
Mkuu pole na mihangaiko, tunasubiri sehemu ya sita.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom