Sally Salya
Member
- Feb 7, 2019
- 38
- 24
Habari wana JF !
Katika mahojiano ya hivi karibuni , mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft, Bill Gates amenukuliwa akisema kuwa katika moja ya kosa lake kubwa la wakati wote alilolifanya ni kuiacha Android kuongoza katika mifumo ya uendeshaji duniani.
Bill Gates alisema, ```Katika ulimwengu wa program anayeongoza katika kuwa na program endeshaji inayotumika kwenye vifaa vingi zaidi ndiye anakuwa mshindi wa masoko yote.
Microsoft ilijaribu kuleta program endeshaji spesheli kwa ajili ya simu iliyokwenda kwa jina la Windows Mobile kwa upande wa simu zake za Windows Phone lakini haikupokelewa vizuri sokoni na pia kwa watengenezaji wa Apps. Microsoft ikajikuta bado inabaki ikitamba katika kompyuta zaidi.
* Microsoft ishakata tamaa katika soko la program endeshaji ya simu, tayar washatuma ujumbe kwa watumiaji wake wa simu za Windows 10 Mobile ya kwamba kufikia Disemba mwaka huu hawataweza kupata masasisho tena ya program endeshaji yao na hivyo wahamie kwenye simu za Android au iOS.
``Source#teknolojia.co.tz
Katika mahojiano ya hivi karibuni , mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft, Bill Gates amenukuliwa akisema kuwa katika moja ya kosa lake kubwa la wakati wote alilolifanya ni kuiacha Android kuongoza katika mifumo ya uendeshaji duniani.
Bill Gates alisema, ```Katika ulimwengu wa program anayeongoza katika kuwa na program endeshaji inayotumika kwenye vifaa vingi zaidi ndiye anakuwa mshindi wa masoko yote.
Microsoft ilijaribu kuleta program endeshaji spesheli kwa ajili ya simu iliyokwenda kwa jina la Windows Mobile kwa upande wa simu zake za Windows Phone lakini haikupokelewa vizuri sokoni na pia kwa watengenezaji wa Apps. Microsoft ikajikuta bado inabaki ikitamba katika kompyuta zaidi.
* Microsoft ishakata tamaa katika soko la program endeshaji ya simu, tayar washatuma ujumbe kwa watumiaji wake wa simu za Windows 10 Mobile ya kwamba kufikia Disemba mwaka huu hawataweza kupata masasisho tena ya program endeshaji yao na hivyo wahamie kwenye simu za Android au iOS.
``Source#teknolojia.co.tz