MKUYENGE
JF-Expert Member
- Jun 26, 2019
- 4,106
- 4,619
Hii awamu imejaa viumbe wasio na aibuTukipata rais toka dsm
Na yeye azindue mbuga yake
Kinondoni national park
Hii awamu imejaa viumbe wasio na aibuTukipata rais toka dsm
Na yeye azindue mbuga yake
Kinondoni national park
Kushangaa mawe sio?Afadhali aisee ili watu wafikilie kuja mwanza pia badala ya Dsm
Nenda sumveNi maeneo gani tulivu kwa kuishi hapo mwanza?
Buswelu yalipo makao makuu ya wilaya ya Ilemela, hutajuta mkuuNi maeneo gani tulivu kwa kuishi hapo mwanza?
Ni kigamboni national park, ipo kule mwasongaTukipata rais toka dsm
Na yeye azindue mbuga yake
Kinondoni national park
Toto la mama nyau wewe.Habari zenu wadau.
Moja kwa moja twende kwenye mada husika. Nakusihii na kukushauri ewe uliepo huko mikoani usitamani wala kufikiria kuja Dar es Salaam. Jiji la Dar es Salaam kwa sasa limekuwa na kero nyingi sana zinazo fanya kuonekana kuwa chungu kwa wananchi.
Kero ziko nyingi ila binafsi ningependa kuzungumzia kero ya usafiri. Usafiri umekuwa ni shida sana katika jiji hili iwe asubuhi, mchana na jioni ndio tabu kweli kweli. Usafiri umekuwa shida sana kiasi kwamba ukienda katika vituo vya daladala kama vile Mbagala, Kariakoo, Banana, mawasiliano nakadhalika wananchi wamekuwa wakigombea usafiri.
Hii ni kero kubwa sana hasa kwa ndugu zetu walemavu, wazee wasiojiweza, wajawazito pamoja na mama wenye watoto wachanga. Kero hii pia imewaathiri kwa kiwango kikubwa wanafunzi, kundi hili limekuwa likichelewa kufika kwa wakati katika maeneo yao kero kubwa ikiwa ni usafiri.
Kwa hiyo kama unakuja Dar es Salaam ujue kuna kadhia ya usafiri.
Dogo akili fupi sana.Wabongo bhana! Kwahio suluhisho lake ni kuacha kuja?! Tatizo unafanyakazi Kawe unaamua kuishi Mbagala! Unafanyakazi Tegeta unaamua kukaa gongolamboto
Kuna treni mbili za mjini ya Pugu na ya Ubungo zinaanzia pale stesheni ya Kamata Gerezani tena ya Pugu huwa ni ndefu sana inakuwaga na mabehewa hadi 20 hii ya Ubungo kidogo ni fupi maana mara nyingi ina mabehewa 6 na huwa haijaiHabari zenu wadau.
Moja kwa moja twende kwenye mada husika. Nakusihii na kukushauri ewe uliepo huko mikoani usitamani wala kufikiria kuja Dar es Salaam. Jiji la Dar es Salaam kwa sasa limekuwa na kero nyingi sana zinazo fanya kuonekana kuwa chungu kwa wananchi.
Kero ziko nyingi ila binafsi ningependa kuzungumzia kero ya usafiri. Usafiri umekuwa ni shida sana katika jiji hili iwe asubuhi, mchana na jioni ndio tabu kweli kweli. Usafiri umekuwa shida sana kiasi kwamba ukienda katika vituo vya daladala kama vile Mbagala, Kariakoo, Banana, mawasiliano nakadhalika wananchi wamekuwa wakigombea usafiri.
Hii ni kero kubwa sana hasa kwa ndugu zetu walemavu, wazee wasiojiweza, wajawazito pamoja na mama wenye watoto wachanga. Kero hii pia imewaathiri kwa kiwango kikubwa wanafunzi, kundi hili limekuwa likichelewa kufika kwa wakati katika maeneo yao kero kubwa ikiwa ni usafiri.
Kwa hiyo kama unakuja Dar es Salaam ujue kuna kadhia ya usafiri.
Hakuna haja ya kushangaa mawe ili ukitaka utashangaa, kwa ni nani hajui kwamba kuna kitu inaitwa mawe kitakachofuatia apo ni ushamba wako binafsKushangaa mawe sio?
Dar ni masaki osterbay mikocheni mbezi beach huko siji nabaki kwangu kwa Kindande
Wachina bhanaa wamefunga wee zile bembea usiku na mchana,alaf walivomaliza wakaanza kutest mitambo wao wenyeweHata wenye ma range rover wasije?
BTW Jiji lina raha zake lazima tuje. Nimefika pale mlimani city nikakuta michezo ya watoto kama yote. Lazima nilete vitoto vyangu vibembee hapo
Pamoja na shida zote hizo bado mnakuja tu.
Mimi mzawa wa hapahapa nitake radhi mkuu.Wengine tumezaliwa hapa hapa mjini ila tunashangaa wa mkoani mkija huku mnagoma kurufi kwenu,hahah
Nazingua.
Hahah samahani mkuu.Mimi mzawa wa hapahapa nitake radhi mkuu.
Ni mtazamo wako tu, Hakuna sehemu nzuri yenye raha Ya kuishi Kama dar, Sema wewe umezoea ukifika dar unaenda kuishi mbagara, kivure, ukonga, na kwingneko kwenye sehemu ovyo ovyo kutokana na uwezo wako Lakini nikuambie kuwa Hakuna mahali Salama pa kuishi Kama dar, Hakuna sehemu yenye ulinzi Kama dar, Hakuna sehemu yenye starehe Kama dar, kila utakachokitafuta dar kipo tena Kwa beii Ya kutupwa mikoani kufuatiliana hadi kero dar ni sehemu nzuri mno ni jiji la mastarehe Ndugu hayo mengne Ya foleni uchafu basi kakae huko Kijijini kwenu kusiko kuwa na foleni uwe unallala saa moja unasindikizwa na milio Ya nyoka na ndege sisi tuachie tule rahaHabari zenu wadau.
Moja kwa moja twende kwenye mada husika. Nakusihii na kukushauri ewe uliepo huko mikoani usitamani wala kufikiria kuja Dar es Salaam. Jiji la Dar es Salaam kwa sasa limekuwa na kero nyingi sana zinazo fanya kuonekana kuwa chungu kwa wananchi.
Kero ziko nyingi ila binafsi ningependa kuzungumzia kero ya usafiri. Usafiri umekuwa ni shida sana katika jiji hili iwe asubuhi, mchana na jioni ndio tabu kweli kweli. Usafiri umekuwa shida sana kiasi kwamba ukienda katika vituo vya daladala kama vile Mbagala, Kariakoo, Banana, mawasiliano nakadhalika wananchi wamekuwa wakigombea usafiri.
Hii ni kero kubwa sana hasa kwa ndugu zetu walemavu, wazee wasiojiweza, wajawazito pamoja na mama wenye watoto wachanga. Kero hii pia imewaathiri kwa kiwango kikubwa wanafunzi, kundi hili limekuwa likichelewa kufika kwa wakati katika maeneo yao kero kubwa ikiwa ni usafiri.
Kwa hiyo kama unakuja Dar es Salaam ujue kuna kadhia ya usafiri.
Hahaha mweleze huyoNi mtazamo wako tu, Hakuna sehemu nzuri yenye raha Ya kuishi Kama dar, Sema wewe umezoea ukifika dar unaenda kuishi mbagara, kivure, ukonga, na kwingneko kwenye sehemu ovyo ovyo kutokana na uwezo wako Lakini nikuambie kuwa Hakuna mahali Salama pa kuishi Kama dar, Hakuna sehemu yenye ulinzi Kama dar, Hakuna sehemu yenye starehe Kama dar, kila utakachokitafuta dar kipo tena Kwa beii Ya kutupwa mikoani kufuatiliana hadi kero dar ni sehemu nzuri mno ni jiji la mastarehe Ndugu hayo mengne Ya foleni uchafu basi kakae huko Kijijini kwenu kusiko kuwa na foleni uwe unallala saa moja unasindikizwa na milio Ya nyoka na ndege sisi tuachie tule raha