Recent content by Salahotv

  1. Salahotv

    Nahitaji msaada wenu kwenye hili

    Pole sana kwa maswaiba. Ila yote kheri, Hali ya kukeketwa inawatesa sana wanawake kisaikolojia, na huyo mpenzi wako inawezekana hicho kitu kinamtesa sana, wakati mwingine unakuta anakupenda Sana na anaogopa kukupoteza ndio maana anasita kukwambia ukweli, ila nikushauri kitu Haya ni Maisha huwezi...
  2. Salahotv

    Mto umejaa michanga eneo la Jangwani kwa sababu mmekataza watu wasichimbe mchanga

    Hii nadhani ilikuwa ni njia Bora Sana kukabiliana na tatizo la pale jangwani. Mfano kuwe na mtu ambaye atakuwa anasimamia zoezi hilo na kuwaelekeza wapi pakuchimba na wapi waache. Hili wazo inabidi viongozi wetu walifanyie kazi. Upande mmoja watu watajipatia kipato lakini upande mwingine...
  3. Salahotv

    Naombeni App nzuri ya kuchorea ramani

    Inawezekana kabisa. Mfano Software Kama AutoCad unaweza kutumia vizuri tu.. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Salahotv

    Dilemma: Sihitaji atoe mimba ila mazingira magumu

    Good point. Kijana aache kuogopa maisha..
  5. Salahotv

    LIVE: Nini kinatokea Ufaransa!? Mapinduzi ?

    Dah hawajamaa wahuni.. Video zishafutwa YouTube ..
  6. Salahotv

    Utaratibu wa kudai fidia ya bima kwa abiria aliyepata ajali

    Good. Hapo umetupa Mwanga kwakweli.. Ubarikiwe ..
  7. Salahotv

    Kutoka Mahakama Kuu, Dar: Mwendelezo wa Rufaa ya dhamana ya Freeman Mbowe na Ester Matiko yaendelea kusikilizwa

    28 Nov 2018, 05:09 pm| By AzamnewsMAHAKAMANI Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imeshindwa kusikiliza Rufaa iliyowasilishwa na upande wa utetezi katika kesi inayowakabili viongozi tisa wa Chama cha Demokarasia na Maendeleo (CHADEMA) inayopinga uamuzi wa mahakama ya hakimu mkazi...
  8. Salahotv

    Zijue nchi 9 zinazoongoza kwa kufanya mapenzi duniani

    Dah.... Sisi hata kwenye mapenzi hatupo.?...
  9. Salahotv

    Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

    Million 50 za mkuu haziendi bure.. Korosho inawahusu ..[emoji16][emoji16]
  10. Salahotv

    Chaputa tubadilishane uzoefu;kwa siku unapiga puli Mara ngapi?

    Ok. Husband's of your own Hands..[emoji23][emoji23][emoji23]
  11. Salahotv

    Sijawahi kuona mapacha wa kimasai

    Mimi pia nimesoma na mapacha wakimasai..
  12. Salahotv

    Msingi wa tofali vs msingi wa mawe

    Yah ni kweli Inabidi ziwe na ratio kali napia zilazwe ila kama mawe yapo nani bei nafuu tumia mawe..
Back
Top Bottom