LIVE: Nini kinatokea Ufaransa!? Mapinduzi ?

Hawa jamaa wajanja sana hizi habari wamezidhibiti balaa,hazipatikani hovyohovyo.
Habari zipo inategemea na vyombo vya habari unavyofuatilia...

Usitegemee kuzikuta ITV au Wasafi FM.

Aljazeera wanarusha vizuri saana.

Macron nafikiri anaweza kuondoka...Ukitegemea kinacholalamikiwa ni Tax na kupanda kwa mafuta- Na hawa matajiri wa Mafuta ni siku kadhaa nao wanavutana kwenye bei ya mafuta Ulaya.


Jambo viongozi wetu wanalotakiwa wajifunze ni kuacha "kiburi" ingekuwa nchi yetu tungeskia waandamanaji 400 wauawa na askri....ila hawa jamaa hawatumii silaha za moto kwa wafaransa wenzao.
 
Wafaransa wanaugonjwa mkuu mmoja tu kupenda sex na kwao promiscuity sio kigezo cha kumnyima mtu madaraka upo hapo? Sasa hebu Angalia tofauti ya umri Kati ya rais Macron na mkewe utapigwa butwaa !
 
Habari zipo inategemea na vyombo vya habari unavyofuatilia...

Usitegemee kuzikuta ITV au Wasafi FM.

Aljazeera wanarusha vizuri saana.

Macron nafikiri anaweza kuondoka...Ukitegemea kinacholalamikiwa ni Tax na kupanda kwa mafuta- Na hawa matajiri wa Mafuta ni siku kadhaa nao wanavutana kwenye bei ya mafuta Ulaya.


Jambo viongozi wetu wanalotakiwa wajifunze ni kuacha "kiburi" ingekuwa nchi yetu tungeskia waandamanaji 400 wauawa na askri....ila hawa jamaa hawatumii silaha za moto kwa wafaransa wenzao.
Sijui lini nchi zetu za kiafrika zitajifunza huu ustaarabu wa kutokudhuru waandamanaji!
 
Naona wananchi wameamua! Nikifuatilia comments za live chart, inaonesha wananchi wameyachoka maisha waishio,
Kero zao kubwa ni
katiba mpya.
Kupanda kwa kodi hasa mafuta.
Kubanwa kwa uhuru wa habari.
Naona matatizo yanafanana na wale wananchi wa hile nchi takatifu! Donner contry
 
Back
Top Bottom