Nahitaji msaada wenu kwenye hili

Nahitaji msaada wenu kwenye hili

Tumia kilainishi Mkuu... Nunua KY...Kama mkavu Sana..
Dooh pole kwa walio keketwa
 
Mzee ....hapo hakuna maana ya mahusiano .yaani miez saba bila kunyanduana 😲😲😲😲😲serious kweli ............bas . mfanye tu awe Dada yako wa damu ........
Although sio hiari take. ....lkn hapanaaa
 
Subilia ufunge nae ndoa tatizo litaisha automatic saizi mnazini hutapata ufumbuzi
 
Kukeketwa hakuondoi hamu hapo lazma ana shida ya ziada au kisaikolojia.
Ma be keshawahi nyanyaswa kijinsia kwa kubakwa na akapata maumivu.
Cha kufanya nenda hospitali achinguzwe atapewa booster antenna isome tena
kukeketwa kunaondoa hamu ya tendo kwasababu kile kinachosupport hamu kimeshakuwa kimeondolewa
 
Aiseee vyema kama uliligundua tatizo, na kumbuka unapoligundua tatizo inatakiwa kugundua na njia.
Hivyo cha msingi usimwache/muoe ila sio saivi
jaribu kutulia na kuendana naye na mambo yatakwenda shwari
Na hata hivyo unaweza kumweleza juu ya hilo tatizo lake naye atafunguka zaidi kukuelezea
Nataka niongee nae kwa upendo na utulivu wa hali ya juu kabisa nione itakuwaje.
Kukeketwa hakuondoi hamu hapo lazma ana shida ya ziada au kisaikolojia.
Ma be keshawahi nyanyaswa kijinsia kwa kubakwa na akapata maumivu.
Cha kufanya nenda hospitali achinguzwe atapewa booster antenna isome tena
kisaikolojia hayupo sawa kabisa napenda nmsaidie atoke huko alipo kwa sasa japo sio rahisi.

Tumia kilainishi Mkuu... Nunua KY...Kama mkavu Sana..
Dooh pole kwa walio keketwa
nitajaribu mkuu

Mzee ....hapo hakuna maana ya mahusiano .yaani miez saba bila kunyanduana serious kweli ............bas . mfanye tu awe Dada yako wa damu ........
Although sio hiari take. ....lkn hapanaaa

Sasa kapenda yeye hiyo hali au unadhani anafanya makusudi? Hakuna anaependa hali ya utofauti usio wa kawaida kwenye mwili wake kwa kuwa hakupenda yeye iwe hivyo
 
Pole sana kwa maswaiba. Ila yote kheri, Hali ya kukeketwa inawatesa sana wanawake kisaikolojia, na huyo mpenzi wako inawezekana hicho kitu kinamtesa sana, wakati mwingine unakuta anakupenda Sana na anaogopa kukupoteza ndio maana anasita kukwambia ukweli, ila nikushauri kitu Haya ni Maisha huwezi jua Mungu kakupangia nini na huyo mtu Cha msingi usimwache endelea kumtia moyo ikiwezekana mweleze ukweli unaouhisi nawala usioneshe kustuka au kumyanyapa kwa namna yoyoteile utamjengea kujiamini Sana. Kitendo Cha wewe kumuacha utamwachia simanzi kubwa Sana moyoni mwake na wewe sidhani Kama utakuwa na Amani huko unakoenda (inaonesha your so innocent) mjali huyo ni wako kumbuka ahadi ya damu pale ulipombikiri. Kitendo Cha wewe kumuacha muda huu si afya Sana naamini hata muda kuanza kutafuta mahusiano mengine na kuwa stong naamini haupo usijeingine wrong destination. Msaidi kujiamini. Nakisa Kama chako nilikishuhudi ila muda hautoshi kuelezea hapa.
 
Pole sana kwa maswaiba. Ila yote kheri, Hali ya kukeketwa inawatesa sana wanawake kisaikolojia, na huyo mpenzi wako inawezekana hicho kitu kinamtesa sana, wakati mwingine unakuta anakupenda Sana na anaogopa kukupoteza ndio maana anasita kukwambia ukweli, ila nikushauri kitu Haya ni Maisha huwezi jua Mungu kakupangia nini na huyo mtu Cha msingi usimwache endelea kumtia moyo ikiwezekana mweleze ukweli unaouhisi nawala usioneshe kustuka au kumyanyapa kwa namna yoyoteile utamjengea kujiamini Sana. Kitendo Cha wewe kumuacha utamwachia simanzi kubwa Sana moyoni mwake na wewe sidhani Kama utakuwa na Amani huko unakoenda (inaonesha your so innocent) mjali huyo ni wako kumbuka ahadi ya damu pale ulipombikiri. Kitendo Cha wewe kumuacha muda huu si afya Sana naamini hata muda kuanza kutafuta mahusiano mengine na kuwa stong naamini haupo usijeingine wrong destination. Msaidi kujiamini. Nakisa Kama chako nilikishuhudi ila muda hautoshi kuelezea hapa.

Ukipata muda elezea hata kwa ufupi mkuu. Nitajitahidi kutafuta namna ya kuendana na hili kwa wataalam wa afya.
 
Nataka niongee nae kwa upendo na utulivu wa hali ya juu kabisa nione itakuwaje.
kisaikolojia hayupo sawa kabisa napenda nmsaidie atoke huko alipo kwa sasa japo sio rahisi.

nitajaribu mkuu



Sasa kapenda yeye hiyo hali au unadhani anafanya makusudi? Hakuna anaependa hali ya utofauti usio wa kawaida kwenye mwili wake kwa kuwa hakupenda yeye iwe hivyo
. ....mtoa post .....atafute tu mwingne .......otherwise hana nguvu za kiume
 
Kwa hiyo nijipe muda kwenye hili? Ukweli ni kwamba nampenda na namuonesha hilo kwa kila namna hata hili la kuweza kuvumilia for 7 months na tunakutana mara kwa mara linathibitisha upendo wangu kwake na mpaka sasa sijapunguza chochote kama kumjali na kumpenda.

Sipendi kabisa hiyo hali imuumize sema ndio hivo unamuona hajiamini kabisa.
Pamoja nakuvumilia kuna mambo kadha yakuongea nae lazima ufanye hivo iliujue tatizo nn sikushauri uoe ktk hali hiyo kuna wanawake kufanya mapenzi kwao sio mhim isije kuwa waaina hiyo ukaishia kutembea na bint wakazi
 
Mwanamke anayesoma MD hapati hamu ya mapenzi mpaka amalize chuo na hii hata kwa wanaume pia, trust me.
 
Kwa kozi anayesoma inahitaji concentration kubwa sana so ni ngumu kuwa sexually aroused unless kama aliwahi kutumika sana, acha amalize chuo wala usimjudge haraka namna hiyo as long as hazingui kwenye Mawasiliano yenu ya kila siku,
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
kukeketwa kunaondoa hamu ya tendo kwasababu kile kinachosupport hamu kimeshakuwa kimeondolewa
How?

Siasa tu hizo..Hamu ya sex inatoka kichwani..Psychology ikiharibika ndo inayopoteza hamu na sio kiungo kama kiungo per se..
 
Ingekuwa ni mimi ningefanya hivi;

Ningekaa naye chini nimwambie kuwa najua amekeketwa lakini bado nampenda kwa hali hiyohiyo aliyonayo..naamini baada wa wiki kadhaa angeanza kujiamini na saikolojia yake ingekaa poa.

Ana kuwa mkavu maybe kwa sababu tu ya kutokuwa comfortable na hiyo hali.

Pia kuna lubricants waweza kutumia huku akiendelea kugain confidence.
 
Kwa hiyo nijipe muda kwenye hili? Ukweli ni kwamba nampenda na namuonesha hilo kwa kila namna hata hili la kuweza kuvumilia for 7 months na tunakutana mara kwa mara linathibitisha upendo wangu kwake na mpaka sasa sijapunguza chochote kama kumjali na kumpenda.

Sipendi kabisa hiyo hali imuumize sema ndio hivo unamuona hajiamini kabisa.
Mwambie ukweli kuwa unajua kinachomsumbua, na onyesha kutojali tatz alilo nalo, huenda anahis hujui na anawaza itakuwaje ukijua ndo mana anajilinda mapema.
Ningekuwa n mm huyo ndo mke ningemwoa koz hata mm sipendi sex japo nina hisia. Tungeendana sanaaaa🤭
 
How?

Siasa tu hizo..Hamu ya sex inatoka kichwani..Psychology ikiharibika ndo inayopoteza hamu na sio kiungo kama kiungo per se..
Yeah inatengenezwa na ubongo lkn ili kitu kikubali lazma ile tarifa ipokelewe ikulu, sasa kama ikulu imebomolewa tarifa itainda wapi? Na hapo ndipo tatz lingne linaibuka la kusumbuliwa na mawazo (saikolojia). Ko kitakacho teseka n ubongo kushindwa kupata ushirikiano na ikulu.
 
Back
Top Bottom