Mitanzania Bana, Yaani Inaongelea Mimba, Ni Ujuha Kuzungumzia Mimba eti Kampany Zimejiandaa Kuitumia
Mimba ?? Huyu Nae leo Kaona aandikeUpuuzi Huu. Kuna Mamiss TZ wangapi Wenye Mishape na Heshima
Hawashobokewi leo Hii Washobokee Mipepe..
Before African Countries mass withdraw from the International Criminal Court,then President Pier
Nkrunzinza of Burundi and Hon Jecha S. Jecha of Zanzibar Must face the ICC.
Ebu Dr. Chein Ajaribu Kuheshimu Maamuzi ya Wazanzibar Waliomkataa Kwenye Sanduku la Kura. Haki Itendeke Mh. Maalim Seif Apewe Urais
wake Maisha Yaendelee.
Tatizo Ni Nini?, TBC1 na Serikali ya JPM Inajiandaa Kuficha Nini?, Kama TBC1 Ni Chombo Cha Taifa Kwa Nini
Tuwekewe Figisufigisu za KutokukifaidiChombo Chetu. Kama Wasiporusha Live Basi TBC1 Ni Chombo Cha
CCM Kama Ilivyo Gazeti la Uhuru na Mzalendo. Ulimwengu wa Sasa Wanasema Ni Black and...
Agree with you 100%, Huyu Mkuu wa Mkoa Ni Mungu Mtu. Inabidi achukuliwe Hatua na Haki Itendeke kwa
hilo. Kama Mkubwa Kutukana Ni sahihi Na Mdogo Kureact Ni Sahihi. Tit For Tat.
Wampe Mh. Maalim Seif Urais wake Kwa Maana Uchaguzi Ameshinda, Labda kama CCM Wanataka Kupora
Ushindi Halali wa Maalim Seif; Ebu CCMZanzibar Kuweni na Mshipa wa Aibu...Democrasi imekuwa Hivyo
Wape Wazanzibar Rais Waliyemchagua "Maalim Seif".
Hii Barua ya Arostor Inatosha Kuwakamata Waliotajwa Kwa Upelelezi zaidi. Wakakatwe ili Wachunguzwe Mali zao na Kazi zao Halali then Sheria
ifuate Mkondo wake.
Majungu at Work; Wewe Inaonekana Una Chuki Binafsi na Mshikaji. Huyu Unaempiga Majungu Nadhani Mungu Wake Anampigania, ila kwa wewe
Kutokujua Unamdhania Anatumia Miziziology. Acha Majungu Kijana Na Tafuta Kipato.
CCM Wanakuona Mh. Maalim Seif kama Zuzu, Haiwezekani Mazungumzo Yakawa Yanaendelea Lakini kila
Kukicha CCM Wanajiandaa na Marudio ya Uchaguzi. Huku Makada wote Wakitangaza Kurudiwa Uchaguzi.
Uvumilivu na Ustaimilivu Wako Watanzania tumeona Na Dunia Imeona. Hivyo basi Mh. Maalim Seif
Waambie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.