Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

Marekani anamuhitaji zaidi Tanzania kuliko Tanzania anavyomuhitaji! Na kuonyesha kuwa Tanzania yuko makini kumuweka sawa Marekani tayari sampuli za maji yanayotiririka kutoka mgodi wa North Mara zimeishachukuliwa tayari kupimwa kwa Mkemia mkuu, TBS na TFDA!
 
Ebu Dr. Chein Ajaribu Kuheshimu Maamuzi ya Wazanzibar Waliomkataa Kwenye Sanduku la Kura. Haki Itendeke Mh. Maalim Seif Apewe Urais

wake Maisha Yaendelee.
 
Sasa ni kujifunga mkanda tu,maana tulizoeleshwa kuishi kibepari.

Kuishi kijamaa na kutumia vya kwetu ndio dawa ya bepari ingawa
hali hii itawaumiza sana wajamaa waliozoeshwa kuishi kibepari.

Kwa nchi huru kama Tanzania kuwekewa vikwazo na wazungu, huo
uhuru tunaouimba kila siku ni danganya toto.

Kuiwekea vikwazo nchi kama Tanzania ni sawa na kuziwekea
nchi majirani zipatazo nane.

Ninachokiona hapa ni uchokozi tu wa wazungu kwa nchi yetu
ili wasikie Mh.Rais Dr.JPM anasemaje/ana maoni gani? a.k.a
kupima upepo wa Amiri Jeshi Mkuu.
 
mkuu huwezi ifananisha Korea kaskazini na TZ, korea asilimia kubwa ya bidhaa zao wanazalisha wenyewee, ni vitu vichache sana wanaagiza toka nje.

Sisi chakula chenyewe tunacholima hakitoshi kutulisha wote.

Dola ikianza kupaa kwa hivi vikwazo ndipo utajua uchumi wa dunia umeshikiliwa na mataifa makubwaa
mkuu hao nzi hawajui madhara ya hivyo vikwazo kutoka kwa hao mabwana wakubwa. wengine wanafikia mpaka kujilinganisha na Iran na North Korea.
Iran imetoka kwenye vikwazo na kuagiza/kununua ndege 150. sisi hatuna vikwazo hata ndege 10 hatuwezi kununua. ukweli ni kwamba Mungu aepushie tu mbali hivyo vikwazo kinyume chake Magufuli ataiona hii nchi ya moto.
 
hata kama
lkn kama NIGGERS walijitoa kimasomaso kujitoa utumwani mikononi mwao enzi hizo katika nchi yao sembuse sisi zama hizi tatzo kubwa waafrca tuna uroho wa madaraka na ndo mwanya anaoutumia mzungu kututawala yeye atajifanya yupo upande wa mnyonge kukusaidia kumbe anapenyeza yake(kama sasa znz)
kama mababu zetu waliziazisha njia za kumtoa mkoloni afrca kwann sisi tusiendeleze hizo mbio kwa kufanya ubaki uhusiano wa kibiashara tu wenye masilah kwa pande zote mbili kutokana na mkataba unavyoeleza kuliko kukaa kutegemea hao jamaa mfano nchi nyingu tungekaza uzi kuwa ka mugabe wangenyooka tu coz AFRICA ka kisima cha shamba rukaruka lkn lazima uje tu kisiimani
pumbavu zao WHITEFORKS
Acha kariwaya ka kijiweni Kariakoo wewe.
 
Kwa hiyo umeme wa REA ni kwa ajili ya viwanda?

Hebu acha unyumbu na kubabaika kwenye hoja!

Tulia ujibu kinachoeleweka
...Kijana, inaonekana shule ulienda sindikiza wenzako. Ukisikia neno "viwanda", wewe unafikiri ni kitu gani?

...Unafahamu dhana ya viwanda vidogovidogo? Unafahamu mchango wake katika kutoa ajira na kuinua kipato cha wananchi?

...Huko umeme wa REA unakopelekwa viwanda hivi vinahitajika na kuhitaji umeme. Sumbawanga katika eneo la Sakalilo na maeneo ya karibu, ambapo mpunga unalimwa, watahitaji mashine za kukoboa na mashine hizo zitahitaji umeme.

...Wapumbavu kama wewe, wasiojua namna ya kujifunza toka kwa wengine, kuheshimu michango ya wenzao, na kutoka ndani ya box, ndio wanaorudisha nyuma maendeleo ya Tanzania.
 
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.

Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC. Hata hivyo serikali ya Tanzania bado haijatilia maanani jambo hilo huku ikioneknana kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki ichukue mkondo wake.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika mwezi october mwaka jana ambao ulielezwa kuwa huru na wa haki.

Vikwazo ndio baraka za mapinduzi hizo!Zipokeeeni tuu!
 
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.

Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC. Hata hivyo serikali ya Tanzania bado haijatilia maanani jambo hilo huku ikioneknana kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki ichukue mkondo wake.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika mwezi october mwaka jana ambao ulielezwa kuwa huru na wa haki.
Natamani Raisi atunishe misuli kama Kagame halafu atupe mijakati bajeti ya julai itatoka vipi kwenye deficity/nakishi. 60% ya bajeti pesa ya wahisani,tutalegeza tuu huko zenji.
 
Unajua viongozi wa Afrika huwa wajinga, Iran inafurahia hivi sasa baada ya sanctions kuwa lifted.....
Sisi hata matchstick twaagiza sasa itakuwaje wakipiga sanction
Inabidi sisi tujitengenezee nguvu ya kusimama wenyewe kwa maana ipo siku nchi zote zinazotegemea misaada zitatengenezewa hadi katiba. Cha msingi haki tu utumike na mambo yaende vizuri. Alie shinda apewe nchi na aliye shindwa ajiandae uchaguzi ujao.
 
wachina wanawapa sana kiburi watawala wa afrika kwa sasa hasa kuhusu misaada
 
Naona america wanachelewa waanze sasa HV kutupiga vikwazo
 
Nadhani humu jfkuna watoto wengi siku hizi athari za vikwazo vyamahakani ni kubwa na marekani akimuwekea mkono ujue EU nao wanakutwanga tubaki kama zimbambwe toka neema ya chakula mpaka njaa ya kudumu urais wa Magufuli utakuwa mbovu kuliko as mkwere Iran ni Taifa kubwa ila linachechemea kiuchumi mpaka sasa hivi wanapoondolewa vikwazo
 
Habari ya kuleta kibiri mbele he marekani ni kujidanganya ndani ya mwaka tz itashindwa kuniendesha
 
Habari ya kuleta kibiri mbele he marekani ni kujidanganya ndani ya mwaka tz itashindwa kuniendesha
Cha kushangaza vtu kibao hatuwezi kuzalisha wenyewe. Ikitokea mradi mpaka wahisani na wahisani wanaleta kampuni kutoka kwao. Sasa hata viwanda vifaa utategemea kutoka nje. Watu wanaleta utaani. Ukilinganisha sisi na Irani hatuwafikii hats robo kwenye kila kitu lakini mwisho wa siku wenyewe wameelekea kibla. Tanzania iwekewe vikwazo kama north Korea ndani ya miezi sita wenyewe mtaomba polo.
 
Back
Top Bottom