Mkuu unaposema enzi za Magu ina maana kina kikwete watu walikuwa hawaumizwi? Enzi za kina mkapa na nyerere watu walikuwa hawaumizwi?
Enzi za kikwete watu wanepigwa sana.
Je, Dr. Ulimboka alikuwa enzi za Magu?
Yule mwenyekiti wa chama cha walimu aliyekimbilia sauz ilikuwa kipindi cha Magu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.