Alimkazia Jiwe kivipi wakati JPM alipiga marufuku mikutano ya hadhara Mbowe akatii, alipiga marufuku maandamano ya Ukuta Mbowe akatii, alichukua idadi kubwa ya Wabunge wa Chadema wakati wake, aliikuta Chadema ina Wabunge zaid ya 70 akaondoka kaichia wabunge 19 plus 1... sasa alikaza vipi ?
Lakini mbona Mbowe alimkazia sana Jiwe?
Kati ya wenyeviti wote yeye pekee ndio hakutepeta!