beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Afya kuanzia Mei 05 - Juni 03, maambukizi mapya 161 yamerekodiwa ikiwa ni ongezeko la 137% ikilinganishwa na kipindi cha Aprili 02 - Mei 04, 2022
Dar imeripoti visa 130, Arusha (10), Mwanza (5), Shinyanga (4), Mtwara (3), Dodoma (2), Mara (2), Morogoro, (1), Simiyu (1), Katavi (1), Kilimanjaro (1) na Mbeya (1)
Dar imeripoti visa 130, Arusha (10), Mwanza (5), Shinyanga (4), Mtwara (3), Dodoma (2), Mara (2), Morogoro, (1), Simiyu (1), Katavi (1), Kilimanjaro (1) na Mbeya (1)