Maambukizi yaongezeka nchini, Dar es Salaam yaripoti visa 130

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Afya kuanzia Mei 05 - Juni 03, maambukizi mapya 161 yamerekodiwa ikiwa ni ongezeko la 137% ikilinganishwa na kipindi cha Aprili 02 - Mei 04, 2022

Dar imeripoti visa 130, Arusha (10), Mwanza (5), Shinyanga (4), Mtwara (3), Dodoma (2), Mara (2), Morogoro, (1), Simiyu (1), Katavi (1), Kilimanjaro (1) na Mbeya (1)

41DD6D20-4EEB-4BD3-928D-54020A0C267C.jpeg


993708BA-656B-4D59-AA22-B990E2014E07.jpeg
 
Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Afya kuanzia Mei 05 - Juni 03, maambukizi mapya 161 yamerekodiwa ikiwa ni ongezeko la 137% ikilinganishwa na kipindi cha Aprili 02 - Mei 04, 2022

Dar imeripoti visa 130, Arusha (10), Mwanza (5), Shinyanga (4), Mtwara (3), Dodoma (2), Mara (2), Morogoro, (1), Simiyu (1), Katavi (1), Kilimanjaro (1) na Mbeya (1)

View attachment 2253835

View attachment 2253837
Enhee, lete fungu siumeona.
 
Tunakoholeana sana na chafya kwenye mwendokasi, hivyo mafua na vifua (TB) kwa wakazi wa dar vitatuandama sana tusipo chukua tahadhari.

Ila hii ya uviko mmmh...inafikirisha sana.
 
Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Afya kuanzia Mei 05 - Juni 03, maambukizi mapya 161 yamerekodiwa ikiwa ni ongezeko la 137% ikilinganishwa na kipindi cha Aprili 02 - Mei 04, 2022

Dar imeripoti visa 130, Arusha (10), Mwanza (5), Shinyanga (4), Mtwara (3), Dodoma (2), Mara (2), Morogoro, (1), Simiyu (1), Katavi (1), Kilimanjaro (1) na Mbeya (1)

View attachment 2253835

View attachment 2253837

Kazi imeanza rasmi. Kesho watafika 678 nchi nzima
 
Wanataka tutengwe na dunia? Ukizingatia hiki ni kipindi cha ibada ya hija?
Acheni ugalatia wenu aisee
 
Nchi ya Vice Versa..., Wakati kweli baridi inatupiga tulitupa mashuka...., sasa hivi jua linawaka ndio tunahimizana kuvaa makoti....

Ajabu ni kwamba hao wahimizaji at that time (wakati tunapigwa na baridi) walikuwa wanatembea vifua wazi kwamba joto limezidi
 
Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Afya kuanzia Mei 05 - Juni 03, maambukizi mapya 161 yamerekodiwa ikiwa ni ongezeko la 137% ikilinganishwa na kipindi cha Aprili 02 - Mei 04, 2022

Dar imeripoti visa 130, Arusha (10), Mwanza (5), Shinyanga (4), Mtwara (3), Dodoma (2), Mara (2), Morogoro, (1), Simiyu (1), Katavi (1), Kilimanjaro (1) na Mbeya (1)

View attachment 2253835

View attachment 2253837
Msimu wa baridi huu na watu kupuuza kujifanya covid 19 haipo.
 
Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Afya kuanzia Mei 05 - Juni 03, maambukizi mapya 161 yamerekodiwa ikiwa ni ongezeko la 137% ikilinganishwa na kipindi cha Aprili 02 - Mei 04, 2022

Dar imeripoti visa 130, Arusha (10), Mwanza (5), Shinyanga (4), Mtwara (3), Dodoma (2), Mara (2), Morogoro, (1), Simiyu (1), Katavi (1), Kilimanjaro (1) na Mbeya (1)

View attachment 2253835

View attachment 2253837
Hamjachoka tu na Mambo ya uviko huo tumeuweza
 
Hayo ni maagizo kutoka kwa mabeberu wameona igizo lao la corona limefunikwa na vita ya Urusi.....

Mungu amuepushie magufuli adhabu za kaburi Aamen!
 
Back
Top Bottom