kwa sasa usifikirie swala la ajira,kabla ya kumaliza hiyo degree ya kwanza ulijua utafanya wapi kazi? sidhani kama ulijua
Au kuna watu wangapi hawana kazi na wanaproffesions ambazo ni marketable kwa sasa hivi...wanazunguka tu mtaani
Kapige shule na ukiweza kuwashangaza wajapan kwa perfomance...
Your statement is vague Nancy,may be you should make yourself clear as to where you stand!
Umesema kazi ipo ukimaanisha competition ya sisi wa UDSM inakupa wasiwasi kua mshindani inakupasa kujipanga vizuri kwanza?,katika kuchangia mawazo na mengine yanayohusu professionalism?
Au" kazi...
iyo experiment umeifanya vipi? under what conditions? ...
There is no such a thing as a speed of 80km/hr could be faster than a speed of 100km/hr...whatever the types of vehicles you can talk about.
Labda mimi niulize uhasama wa mengi na manji ulianzia wapi na umekua endelevu for some years now!!
Kusema ni ushindani tu wa kibiashara naona haitoshi...
mchakato wa kuitafuta demokrasia ya kweli si lelemama, hongereni wabunge mlio kua na misimamo ya dhati kabisa kutetea kilichokua na maslahi kwa walio wengi .katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.