Natafuta Gari Saloon ya injini ndogo bei isizidi 4mil...
wasikuvunje moyo, magari ya 4m yapo mengi na yanarun vizuri tu, kuna watu wengi wana magari wanashindwa kuyaendesha kwa sababu mbalimbali
nasema hivyo nina uhakika, wiki iliyopita jamaa yangu kapata gari ya 3.8m jamaa alikuwa kaipaki, na hiyo gari jamaa akaiendesha kutoka dar mpaka Mbeya bila tatizo wala service ya kihivyo
Dar - Mbeya ni chini ya km 1000. Kipimio cha gari zuri si kwenda umbali huo tu bila service. Kuna hatari ya kumpotosha mwuliza swali.
Nina baloon nyeusi TOYOTA CHASER (SIX CYLINDER)nauza mil 5.Ila unaweza kuni PM ukaja kuiona halafu tukanegotiate.Wadau kazi kweli kweli nimeongeza 4.5mil
Nina baloon nyeusi TOYOTA CHASER (SIX CYLINDER)nauza mil 5.Ila unaweza kuni PM ukaja kuiona halafu tukanegotiate.
Unaweza kupata gari chini ya dola 1000 kuwa makini acha papara utakatishwa tamaa