muhimu kwa sisi 'maafisa shibe' ni USAFI. hakuna atakayevumilia uchafu wa vyombo, mabaki, mhudumu na vyombo. pia joto la chakula. wali mwingi katika migahawa utadhani kiporo cha siku 2.
mwisho; sehemu nyingi biashara zimedoda, sio tu chakula. jipe moyo
kwa wazito kidogo kuelewa:
ULIMWENGU WA ROHO=STUDIO ZA ITV MIKOCHENI
ULIMWENGU WA NYAMA= TELEVISHENI YAKO NYUMBANI
ufafanuzi
studio ndiko hufanyika kila mipango ya mtazamaji/msikilizaji aone nini, asikie nini. mipango kuanzia mtangazaji avae nini, aanza kusoma habari gani, ichukue muda gani...
omba verification kwa mods angalau uongeze uaminifu. hii itatusaidia wengi; NIDA na simu sio hoja kwa sasa. nilishapeleka kesi ya utapeli kituo x, nikajbiwa mtaalam wa cyber yuko likizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.