Sanamu la mchezaji messi lazinduliwa kolkata

Sanamu la mchezaji messi lazinduliwa kolkata

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
15,759
Reaction score
37,374
Wahindi nao wameamua wasiwe wanyonge wakaona kuweka sanamu la messi lenye urefu wa futi 70.
😄 Nimeshindwa kuendelea imebidi nicheke.
FB_IMG_1765795424325.jpg
 
Wamelenga zaidi kwenye issue ya utalii,
Bila shaka watalii wengi wataenda kutembelea hapo.
Vibaya sana na hiyo tour yake serikali imepiga Hela haswaa Kwa wananchi

Nilikuwa Nina fuatilia YouTube Jana sio poa

Ukiachailia mbali kupiga Hela Kwa wananchi hata live stream za mitandaoni wamepiga sana pesa
 
Back
Top Bottom