Recent content by rip faza_nelly

  1. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Kumfunga pingu Mwekezaji wa Mabasi ya Tilisho ni udhalilishaji, Vitisho na Ulevi wa madaraka

    Moja ya Uzi wa hovyo na WA kishabiki.
  2. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Vijana wa 31–36 walisoma sana lakini wamechelewa kuwa wajanja wa maisha muda sio mrefu mfumo unawatema

    Tulia dogolasi, umesahau kama humu JF kila mtu ana maisha mazuri. Ushauri haujapokelewa
  3. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Leseni ya Gazeti la Mwanahalisi yasitishwa kwa miezi 6

    Tulisema hapa,
  4. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Unamwamini vipi huyo unaye mtuma akuletee vyakula vilivyopikwa, matunda na vinywaji?

    Kula tu mkuu, hakuna jipya
  5. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Hivi humu hamna ambaye amewahi kuangalia zile Star Wars, zipo nyingi sana na mara nyingi zikitoka matoleo yake yanakuwa na rate za juu. Any idea!
  6. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Mtu unasemaje hakuna uchawi halafu unakubali kuwa fimbo ya Musa ilibadilika kuwa nyoka? Unaamini bahari iligawanyika wakapita, waislamu wana story ya safari ya Mtume ya Miraj, ule wote ni uchawi ila huku kwenye mitume wanauita miujiza. Uchawi si ndio ancient religion kwanini mtu aseme hakuna uchawi.
  7. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Pishi la nyoka: mishkaki ya cobra

    Kuna kitu nyeupe nimeona anaitoa kwa tahadhali taratibu katika ya uti wa mgongo wa nyoka, ni nini Ile?
  8. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Kiredio na Vee Dollar: Hivi Mapenzi Hufia Kwenye Mafanikio au Umasikini Ndio Unaounganisha Watu?

    Sahihi, ndipo inapokuja kauli ya pata pesa tujue tabia yako
  9. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Asiaminike sana, system wengi huwa hawastaafu

    Afisa kipenyo
  10. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Kwenye tendo kuna style nzuri kupita kifo cha mende?

    "vijana wenyewe siku hizi wamechanganyikiwa"
  11. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Je, mwanaume ulishawahi kugeuzwa mchepuko na ukachukulia poa?

    Tatizo watu wabishi sana
Back
Top Bottom