Recent content by rip faza_nelly

  1. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Hivi humu hamna ambaye amewahi kuangalia zile Star Wars, zipo nyingi sana na mara nyingi zikitoka matoleo yake yanakuwa na rate za juu. Any idea!
  2. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Mtu unasemaje hakuna uchawi halafu unakubali kuwa fimbo ya Musa ilibadilika kuwa nyoka? Unaamini bahari iligawanyika wakapita, waislamu wana story ya safari ya Mtume ya Miraj, ule wote ni uchawi ila huku kwenye mitume wanauita miujiza. Uchawi si ndio ancient religion kwanini mtu aseme hakuna uchawi.
  3. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Pishi la nyoka: mishkaki ya cobra

    Kuna kitu nyeupe nimeona anaitoa kwa tahadhali taratibu katika ya uti wa mgongo wa nyoka, ni nini Ile?
  4. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Kiredio na Vee Dollar: Hivi Mapenzi Hufia Kwenye Mafanikio au Umasikini Ndio Unaounganisha Watu?

    Sahihi, ndipo inapokuja kauli ya pata pesa tujue tabia yako
  5. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Asiaminike sana system wengi huwa hawastaafu

    Afisa kipenyo
  6. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Kwenye tendo kuna style nzuri kupita kifo cha mende?

    "vijana wenyewe siku hizi wamechanganyikiwa"
  7. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Je, mwanaume ulishawahi kugeuzwa mchepuko na ukachukulia poa?

    Tatizo watu wabishi sana
  8. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Kwa Tabia hizi za kuacha kazi nina matatizo au?

    Chagua chagua nyingi mzee
  9. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Hivyo tu?
  10. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu, mawakili wa serikali wabadili gia angani, wafunga ushahidi tofauti na ahadi yao ya kuileta mashahidi waliokuwa wamebaki

    Labda wameona Mashahidi karibia wote ushahidi unafanana.
  11. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu, mawakili wa serikali wabadili gia angani, wafunga ushahidi tofauti na ahadi yao ya kuileta mashahidi waliokuwa wamebaki

    Huwez kugoma kutoa ushahidi, summons itakulazimisha kufika mahakamani
Back
Top Bottom