hamjamuelewa, mtoa mada hazungumzii aina hiyo ya laundry Wala wateja wa masaa mawili anataka nguo yake na ndio maana mmeishangaa bajeti yake ya 2M. Amesema ameshafanya utafiti kaona hiyo bajeti inamtosha kwa aina ya wateja wake nyie mnamletea uchambuzi wenu wa uwekezaji mkubwa. Uwekezaji mkubwa...
Naamini kafa sabab angekuwa hajafa angekwepo mpaka Leo, mafarao wamekufa pia, Mansa Musa amekufa pia, babu wa babu yangu amekufa pia. Kama unamaanisha mwisho wa maisha Yao nakubaliana nawewe ila kama unamaanisha mwisho wa dunia nikwambie tu utasubiri sana.
Iwe maua, mti, mgomba unapotaka kuupanda sio lazima ila pandia udongo kutoka eneo tofaut na hapo ulipochimba shimo, usifukie kwa udongo uleule uliochimbua. kwenye shimo.
Muda? Fanya imagination tu Adam kafa lini halafu jiulize nae bado anasubiri siku ya mwisho ifike!? Acha ubinafsi, amini Kuna siku itafika huko mbele ya safari na sisi tutaonekana ni kama tulikufa Enzi za Adam kwa kizaz kitakachokwepo miaka hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.