Nani anywe maziwa ya bongo wapumbavu mtaani wana-dilute wanayaongezea maji ili kuongeza ujazo. Unanunua maziwa mepesiii yanakosa ubora. Na pia huo ni upungufu wa maziwa sio nyama mana asilimia kubwa ya ng'ombe bongo ni wale wa kienyeji ambao ili kupata lita 10 tu ni mpaka ukamue ng'ombe kama 7...
Tarehe 20 kukwambia anaumwa na maji ya njano yanatoka chini, tarehe 21 umerudi anasema mzima amepona🤔muongo kama kweli alikuwa anatoka uchafu kwenye uchi asingeweza kupona haraka ndani ya masaa machache kiasi hiko. Tarehe 22 umemwambia aende hospital ndo karudi na kusema umemwambukiza!?🤔 Hapana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.