Recent content by rip faza_nelly

  1. rip faza_nelly

    Alex Mkama Apandishwa Cheo Kuwa Kamishna wa Polisi, Ateuliwa Kuongoza Polisi Jamii

    Ni cheo Cha uteuzi sio lazima apitie uDCP, Mambosasa ni mstaafu pamoja na kamanda Murilo. Yupo pale kwa mkataba hivyo vyeo havimuhusu Tena.
  2. rip faza_nelly

    Unaweza ukalia kwa kuachwa na mpenzi?

    Kama ameniacha kwa maana ya kufa aisee nitalia sana tu mzee. Ila hiyo ni kwa mke tu sio mpenzi😃
  3. rip faza_nelly

    Tanzania Yatumia Bilioni 23 Kuagiza Maziwa Nje Ya Nchi

    Nani anywe maziwa ya bongo wapumbavu mtaani wana-dilute wanayaongezea maji ili kuongeza ujazo. Unanunua maziwa mepesiii yanakosa ubora. Na pia huo ni upungufu wa maziwa sio nyama mana asilimia kubwa ya ng'ombe bongo ni wale wa kienyeji ambao ili kupata lita 10 tu ni mpaka ukamue ng'ombe kama 7...
  4. rip faza_nelly

    Mke anataka kutimkia kwao akidai nimemwambukiza zinaa. Sijawahi kuugua ugonjwa huo tangia nizaliwe

    Tarehe 20 kukwambia anaumwa na maji ya njano yanatoka chini, tarehe 21 umerudi anasema mzima amepona🤔muongo kama kweli alikuwa anatoka uchafu kwenye uchi asingeweza kupona haraka ndani ya masaa machache kiasi hiko. Tarehe 22 umemwambia aende hospital ndo karudi na kusema umemwambukiza!?🤔 Hapana...
  5. rip faza_nelly

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Dah mzee huwafanyii sawa ndugu watumishi
  6. rip faza_nelly

    Series (Special thread)

    Sahihi pale Nkiri zipo shazi
  7. rip faza_nelly

    Series (Special thread)

    Anime episodes zake ni dakika 20 tu
Back
Top Bottom