Recent content by rip faza_nelly

  1. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Hivi biashara ya laundry dryer cleaning inalipa kweli kwa dar na Dodoma

    hamjamuelewa, mtoa mada hazungumzii aina hiyo ya laundry Wala wateja wa masaa mawili anataka nguo yake na ndio maana mmeishangaa bajeti yake ya 2M. Amesema ameshafanya utafiti kaona hiyo bajeti inamtosha kwa aina ya wateja wake nyie mnamletea uchambuzi wenu wa uwekezaji mkubwa. Uwekezaji mkubwa...
  2. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Hivi biashara ya laundry dryer cleaning inalipa kweli kwa dar na Dodoma

    Kibongo bongo 1,6,8 na 10 ndio muhimu. Mengine hayo sio muhimu sana. Kunyoosha utanyoosha mwenyewe nyumban kwako, 7,8,9 ndio sio muhimu kabisa
  3. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Wadudu na wanyama wakifa huwa wanaenda wapi?

    Hata Jeff Epstein alikuwa tajiri lakini mambo aliyokuwa anafanya yalifanya aonekane Hana akili sawasawa. Ndio hata huyo wako nae Hana akili
  4. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Connection ya wa bongo movie, Waziri Gwajima isifike jioni hujasema lolote taifa linasubilia onyo kali

    Japo simjui ila Huyo bibi Nina uhakika atakuwa ni bibi wa Dar tu🚮
  5. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Kwa dalili zote hizi, bado tu huamini kuwa Yesu Yu karibu kurudi?!

    Sijasoma pia🚮
  6. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Wadudu na wanyama wakifa huwa wanaenda wapi?

    Hakuna mwenye akili anaetoa sadaka kanisani, ni wajinga wenzao hao. Wenye akili sadaka zao wanapeleka kwa walengwa moja kwa moja
  7. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Kwa dalili zote hizi, bado tu huamini kuwa Yesu Yu karibu kurudi?!

    Sijasoma ulichoandika
  8. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Kwa dalili zote hizi, bado tu huamini kuwa Yesu Yu karibu kurudi?!

    Achana na maneno ya wengine hao kina Petro tumia uelewa wako tu wa kawaida. Kwani wewe huna akili za kufikiria na kujiuliza hadi Petro aseme
  9. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Wadudu na wanyama wakifa huwa wanaenda wapi?

    Unazungumzia siku ya hukumu, si ndio? Kama ndivyo sibadilishi hoja
  10. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Wadudu na wanyama wakifa huwa wanaenda wapi?

    Naamini kafa sabab angekuwa hajafa angekwepo mpaka Leo, mafarao wamekufa pia, Mansa Musa amekufa pia, babu wa babu yangu amekufa pia. Kama unamaanisha mwisho wa maisha Yao nakubaliana nawewe ila kama unamaanisha mwisho wa dunia nikwambie tu utasubiri sana.
  11. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Uzi huu tutakuwa tunapeana taarifa ya Matukio (Madhara) ya Super Elnino 2026/2027

    Zenji Leo tokea alfajiri mpaka sasa inanyesha sijui ni kawaida ya huku
  12. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Huu mti niutazamapo najihisi kulia

    Iwe maua, mti, mgomba unapotaka kuupanda sio lazima ila pandia udongo kutoka eneo tofaut na hapo ulipochimba shimo, usifukie kwa udongo uleule uliochimbua. kwenye shimo.
  13. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Wadudu na wanyama wakifa huwa wanaenda wapi?

    Muda? Fanya imagination tu Adam kafa lini halafu jiulize nae bado anasubiri siku ya mwisho ifike!? Acha ubinafsi, amini Kuna siku itafika huko mbele ya safari na sisi tutaonekana ni kama tulikufa Enzi za Adam kwa kizaz kitakachokwepo miaka hiyo.
  14. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania Hakuna El Nino bali Kuna ukame makali, TMA wamegonga nje

    Akili za facebook hizi.
  15. rip faza_nelly

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila: Kila nyumba Dar iwe na 'dustbin' za kuwekea taka angalau mbili

    Kwa hiyo nyie wenzetu huko Dar kuwa na dust bin ni mpaka muambiwe na mkuu wa mkoa!
Back
Top Bottom