Asiaminike sana, system wengi huwa hawastaafu

Asiaminike sana, system wengi huwa hawastaafu

Na anajitahidi kuweka imani aaminike,

System inaweza kukufunga hata gerezani miaka kadhaa uchunguze mtu fulan mfungwa au tukio fulan ndani,

Na ika ku harass sana huku nyuma ya mlango ikikupoza kiaina,

Wanaoona karibu wakakuamini na kukuweka kwenye Taasisi zao ,

Au mwanachama anayesumbua akahama chama tawala akaenda Upinzani, naye system ikasema nenda mchunguze, jiunge gombea ubunge huko huko

Suspect anyone trust no body

Britanicca
Mara ACT marà narudi, mara si kosa kuhabarisha umma kinachoendelea mahakamani, mara nimenyimwa dhamana .....talalila nyingiiiii....
 
Na anajitahidi kuweka imani aaminike,

System inaweza kukufunga hata gerezani miaka kadhaa uchunguze mtu fulan mfungwa au tukio fulan ndani,

Na ika ku harass sana huku nyuma ya mlango ikikupoza kiaina,

Wanaoona karibu wakakuamini na kukuweka kwenye Taasisi zao ,

Au mwanachama anayesumbua akahama chama tawala akaenda Upinzani, naye system ikasema nenda mchunguze, jiunge gombea ubunge huko huko

Suspect anyone trust no body

Britanicca

When it comes to your own safety it's well known that Don't Trust No One
 
Na anajitahidi kuweka imani aaminike,

System inaweza kukufunga hata gerezani miaka kadhaa uchunguze mtu fulan mfungwa au tukio fulan ndani,

Na ika ku harass sana huku nyuma ya mlango ikikupoza kiaina,

Wanaoona karibu wakakuamini na kukuweka kwenye Taasisi zao ,

Au mwanachama anayesumbua akahama chama tawala akaenda Upinzani, naye system ikasema nenda mchunguze, jiunge gombea ubunge huko huko

Suspect anyone trust no body

Britanicca
Du.......!!!
A.k.a Mabere Marando Esquire
 
Embu Lamomy njoo na hapa
Mbona hamna code hapo P 😹

Hapo anaongelewa Madeleka yule polisi wa zamani aliyeamua baadaye kujiongeza kusomea sheria..!! Juzi kati walitengeneza sinema na washkaji zake wa veggies ili kuwaaminisha ufipa kwamba naye ni victim wa veggies ili ajipandikize huko mbele awavuruge…!!
 
Mbona hamna code hapo P 😹

Hapo anaongelewa Madeleka yule polisi wa zamani aliyeamua baadaye kujiongeza kusomea sheria..!! Juzi kati walitengeneza sinema na washkaji zake wa veggies ili kuwaaminisha ufipa kwamba naye ni victim wa veggies ili ajipandikize huko mbele awavuruge…!!
Bahna ili picha la kihindi hatare alafu leo analipongeza jeshi la polisi kwa kuwa na weledi pindi walipomchukua
 
Mbona hamna code hapo P 😹

Hapo anaongelewa Madeleka yule polisi wa zamani aliyeamua baadaye kujiongeza kusomea sheria..!! Juzi kati walitengeneza sinema na washkaji zake wa veggies ili kuwaaminisha ufipa kwamba naye ni victim wa veggies ili ajipandikize huko mbele awavuruge…!!
PM atafananisha ili tukio na drama kusahau lile la djumbe
 
Back
Top Bottom