Hapana mkuu hawa si km askari wa JWTZ au JKT(VIJANA WAKUJITOLEA AU WA KWA MUJIBU WA SHERIA)hawa nia askari waliokwisha shiriki mafuzo ya JKT wakaajiriwa na JKT SUMA GUARD,hvyo sidhani km wana haki ya kutolipa nauli wanajifananisha na kipindi wakiwa km wapo JKT kumbe walishatoka huko na ss wapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.